kesi ya kulawiti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Hukumu Kesi ya Mlinzi wa Kanisa (Sinza, Dar) anayedaiwa kumlawiti Mtoto kutolewa Machi 14, 2025

    Ushahidi katika kesi Namba Cc.5866 /2024 inayomkabili Baraka Benedicto (23) anayedaiwa kumlawiti mtoto wa Kiume umehitimishwa rasmi Machi 7, 2025 baada upande wa Mshtakiwa kukamilisha utetezi wake. Akizungumza mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mara baada ya mshtakiwa kuhitimisha...
  2. Cute Wife

    Aliyekuwa RC wa Simiyu, Dkt Nawanda ashinda kesi ya “kumlawiti Mwanafunzi”, asema anamuachia Mungu

    Wakuu, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi. Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa...
  3. sanalii

    Jeshi la Polisi na Serikali kwa ujumla imepoteza weledi na imani kwa wananchi

    Kwa jinsi wanavyoshughulikia mambo na kuyapa uzito usio sawa, hii ni aibu na inatia mashaka sana. kwa mfano, jinsi wanavyoliendesha suala la binti aliebakwa, je kama ingekua hakuna ushahidi hali ingekuaje? Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na...
  4. Cute Wife

    Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

    Wakuu, Naona tunaenda kufanyiwa maigizo tena na kuna mtu anataka kulindwa. Eti uchunguzi umebaini vijana wale hawakutumwa na 'afande na kwamba vijana wale walikuwa kama wavuta bangi tu na yule binti alikuwa kahaba! Mpaka utambulisho wa moja wao umebainika halafu leo maneno yanageuzwa hivi...
Back
Top Bottom