Ushahidi katika kesi Namba Cc.5866 /2024 inayomkabili Baraka Benedicto (23) anayedaiwa kumlawiti mtoto wa Kiume umehitimishwa rasmi Machi 7, 2025 baada upande wa Mshtakiwa kukamilisha utetezi wake.
Akizungumza mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mara baada ya mshtakiwa kuhitimisha...
Wakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa...
Kwa jinsi wanavyoshughulikia mambo na kuyapa uzito usio sawa, hii ni aibu na inatia mashaka sana.
kwa mfano, jinsi wanavyoliendesha suala la binti aliebakwa, je kama ingekua hakuna ushahidi hali ingekuaje?
Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na...
Wakuu,
Naona tunaenda kufanyiwa maigizo tena na kuna mtu anataka kulindwa. Eti uchunguzi umebaini vijana wale hawakutumwa na 'afande na kwamba vijana wale walikuwa kama wavuta bangi tu na yule binti alikuwa kahaba!
Mpaka utambulisho wa moja wao umebainika halafu leo maneno yanageuzwa hivi...
binti aliyebakwa yombo
binti aliyelawitiwa
binti wa yombo
dpp
kesiyakulawitikesiya ubakaji
kubakwa
polisi
polisi tanzania
sacp theopista mallya
tanzania
ubakaji na ulawiti
ukatili wa kingono
ukatili wa polisi
ulawiti binti wa yombo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.