Jopo la Mawakili wa P Didy wamepambana kuomba dhamana waliomba kuweka dhamana jumba lake la kifahara lenye thamani ya zadi ya bilioni 50 pamoja na ndege yake binafsi lakini Mahakama imekataa kumpa dhamana kwa kigezo kuwa anaweza kutumia uwezo wake kuharibu mchakato wa upatikanaji wa haki...