Baba Levo amemfungulia kesi msanii Harmonize na kumchukulia RB polisi. Baba levo amedai kuwa usiku wa kuamkia leo February 11,2024 msanii huyo wa muziki wa bongofleva alimshambulia.
Ameandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram:-
"Hii Itakuwa Mara Yangu Ya Mwisho Kuwa Mnyonge Kuwa...