Salaam Wakuu,
Nimekutana na taarifa inayodai kuwa Mchezaji Kinda wa Barcelona na Timu ya Taifa ya Uhispania Lamine Yamal ana mtoto wa miaka mitatu.
Taarifa hii imenistua sababu Kinda huyu ametimiza miaka 17 siku mbili zilizopita (13/07/2024). Kuwa namtoto wa miaka mitatu inamaanisha alipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.