Khaki (UK: , Canada and US: ) is a color, a light shade of brown with a yellowish tinge. Khaki is an equal mix of sage and buff so it is considered a quinary color.Khaki has been used by many armies around the world for uniforms, including camouflage. It has been used as a color name in English since 1848 when it was first introduced as a military uniform. A khaki uniform is often referred to as khakis.
In Western fashion, it is a standard color for smart casual dress trousers for civilians, which are also often called khakis.
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha...
Msaada wana JF,
Kuna mdogo wangu,alituma maombi ya kazi polisi, kwa kutumia cheti cha kidato cha nne (IV) waliambiwa wapeleke kwa makamanda wao wa mikoa, tofauti na wale weneye elimu kuanzia certficate hadi degree walituma maombi kwa njia ya mtandao.
Leo tovuti ya jeshi la polisi imetoa orodha...
Baada ya mashabiki kulalamika kwamba marefa wanahongwa kuruhusu magoli ya mchongo, sasa wapuliza filimbi hao wa mchongo wamekuja na mbinu nyingine: kudhoofisha timu kiakili na kimwili kwa kuwalima wachezaji red kadi za magumashi.
Juzi hapa baada ya kuonekana kuwa wakata miwa wa turiani...
Kwa mahitaji ya bata na vifaranga vya
bata bukin
Mallard
Jumbo perkin
Khaki Campbell
Indian runner
Ruen
Wanapatikana CHANIKA KWA SINGA, ILALA
DAR ES SALAM
Call: 0746 696878
Instagram: ILUNDA FARM
FACEBOOK: MABATA DAR
Hili swali kuna mtu kaja kuniuliza nikashindwa kumjibu, what is it behind matajiri wanapokupatia pesa cash, kukuwekea kwenye bahasha ya khaki, anauliza kwanini wasikupatie tu mkononi.
Inaonesha alifanya kazi fulani akatakiwa kupewa cash, akapewa kwenye bahasha ya khaki, na yeye ni kama mtu...
00' Mpira unaanza kwenye dimba la Mkapa
28' Greyson David anaachia mkwaju na kuiandikia KMC bao la kwanza
36' Chars Iyanja anashindwa kuingozea KMC bao la pili baada ya kubaki yeye na goli, mlinda mlango FaruqShikalo alijaribu kutoka kuuwahi mpira lakini aliukosa
45+2' Mapumziko
46' Yaqub...
Habari?
Jina Langu ni Mr Equator. Ni kijana ambaye najaribu kuyatafuta maisha. kwa njia mbali mbali.
Nimekuwa nikitafuta wazo la biashara ya pembeni (Side-hustle) ya mtaji kati ya Laki 1-2. Kwenye pita pita zangu nimepata wazo la biashara ya bahasha na nika angalia video baadhi Youtube. Nika...
Packline Company Limited,ni kiwanda kinachozalisha na kuuza mifuko ya khaki kwa gharama nafuu,baadhi ya bei zetu ni kama ifuatavyo
2kg ziko 1600pcs bei ya katoni Tsh 64,000
3kg ziko 1280pcs kwa katoni bei 64,000
Pia tuna handle bags
Za size tofauti
A5 Tsh 150
A4 Tsh. 250
A3 Tsh 300
Wasiliana...
Rais Yoweri Kaguta Museven wa Uganda akiwa ameketi huku wazee wakimpigia magoti na kupewa chochote kwenye bahasha ya kaki.
Ikumbukwe kuwa uchaguzi nchini Uganda unatarajiwa kufanyika mwakani February 9, 2021. Kiongozi huyo wa taifa la Uganda ameongoza Uganda kwa takribani ya miaka 34 hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.