Kwako Binti na Mwana wa Afrika.
Elimu za Dunia zinafundisha watu, kuenenda kwa akili/kutumia akili zaidi.
Elimu za kiroho zinahimiza Unyenyekevu/kuenenda kiroho/kutumia uwezo wa ndani wa kiakili.
Kawaida ukitumia sana akili ya ubongo kuna matokeo tofauti na ukitumia akili ya kiroho/ uwezo wa...