kiama cha watekaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku

    Wakuu, Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya. Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa...
  2. 4

    Kama wewe ni sehemu ya watekaji, Mungu amenionesha kiama chenu

    Wakuu salama? Niwasalimu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo wana - JF. Mada hii fupi sana: Kama wewe ni sehemu ya watekaji tubu na jiandae, Mungu amenionesha pigo kubwa juu yenu. Akinionesha mfano wa mmoja wenu ambaye ni mtekaji, alifika mahali tulipokuwa ambapo ilionekana kuna watu wengi...
Back
Top Bottom