kiazi kitamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Basi la kampuni ya Kiazi kitamu lapata ajali

    Basi la Kampuni la KIAZI KITAMU lenye Namba ya Usajiri T 889 DKL linalofanya safari zake Kutoka Mwanza kwenda Arusha limepata ajali na kudondoka eneo la Misungwi Mkoani Mwanza Leo alfajiri ya 23/03/2023. Taarifa za Vifo bado hatujapokea zaidi ni majeruhi ya wahanga wa ajali hiyo.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…