kibada

  1. julaibibi

    palm mall kibada kwa steven kigambon.ushauri weka michezo ya watoto

    hongera yoyote aliyejenga pale ila angetaka kumaliza mchezo aweke michezob ya watoto kama pale city mall. utapata wateja sana. naomba kushauri
  2. Kumi4

    Kijana wa kusimamia bustani ya mboga mboga anahitajika, eneo kibada, mshahara 100,000

    Habarini wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, anahitajika kijana wa kusimamia shughuli za bustani ya mbogamboga hii ni kulima na kumwagilia, mashahara laki moja kwa mwezi, awe na uzoefu, nicheki namba 0653828027
  3. Kalaga Baho Nongwa

    KERO Kutoka Kibada mpaka Mwasonga ni kilometer 18 tu, nauli inakuaje 1200? Latra mko wapi?

    Kwema wakuu? Asee Latra mtuhurumie watanzania wenzenu, toka mwaka huu uingie nimeona wananchi wa Mwasonga wanateseka sana nauli inapanda bila sababu za msingi. Zamani nauli ilikuwa 500 tu hadi feli. Toka nauli ipande ikasogea mpaka 1000 na muda huu naandika hapa nauli kule ni 1200 Kwa mujibu...
  4. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kigamboni: Spacious Self Contained Bungalow For Sale - Dar

    • Direction: Kibada, 3 min on foot from Chekechea daladala stop • Facilities: 3 bedrooms, 2 bathrooms, servant quarter • Plot Area: 1,000+ sqm • Document: Title deed • Price: TSH 250 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ inauzwa bila samani za ndani (unfurnished) ✓ vyumba vitatu vikubwa...
  5. Roving Journalist

    Barabara ya Kibada - Mwasonga mbioni kuwekewa Lami, Bashungwa akagua athari za mvua

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali tayari imeshampata Mkandarasi na kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kibada - Mwasonga - Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41 kwa kiwango cha lami. Aidha, Bashungwa ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia...
  6. Stephano Mgendanyi

    Barabara ya Kibada - Mwasonga kuanza kupigwa lami, Bashungwa akagua athari za Mvua

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali tayari imeshampata Mkandarasi na kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kibada - Mwasonga - Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41 kwa kiwango cha lami. Aidha, Bashungwa ameeleza kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia...
  7. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Komredi Mwajabu Mbwambo aongoza UWT Dar es Salaam kutembelea Ihsan Orphanage Center - Kata ya Kibada

    KOMREDI MWAJABU MBWAMBO AONGOZA UWT MKOA WA DAR ES SALAAM KUTEMBELEA IHSAN ORPHANAGE CENTER KIGAMBONI-KIBADA Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Dar es salaam ukiongozwa na Mwenyekiti UWT Komredi Mwajabu Rajabu Mbwambo wameshirikiana na Uongozi wa UWT Kata Kibada kutembelea kituo cha...
  8. Suley2019

    Barabara ya Kibada mpaka Kimbiji kupigwa lami

    Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya ujenzi kwa kiwango cha lami wa barabara ya Kibada - Mwasonga - Kimbiji yenye urefu wa KM 41 Wilayani Kigamboni, Dar es salaam. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hayo leo akiwa Kigamboni ambapo amesema hatua hiyo ni...
  9. L

    Nyumba inauzwa ipo Kibada Kigamboni

    Nyumba ipo KIGAMBONI Mwembe mtengu inauzwa. Master 2 Living room 2 Kitchen 1 Public toilet 1 Dinning 1 Seating 1 Ukubwa eneo 400sqm(20*20) Bei 50Mil Maongezi yapo. Mawasiliano: sms,calls,watsaap 0784379396 Email: leonapolinary@gmail.com
  10. Baba Tee

    Mbwa wakali wa ulinzi (mali dutchie puppies)

    Ninauza mbwa wakali kwa ajili ya ulinzi Aina: MALI DUTCHIE DOG Mbwa hawa ni mchanganyiko wa baba yao ambae ni Dutch Shepherd na mama yao ambae ni Belgian Malinois Umri : 3.5months Bei: 300,000/- kwa mbwa mmoja wamekwishapata chanjo Walipo: Kigamboni-Kibada Mawasiliano: 0713621678 au...
  11. N

    Wakazi wa kigamboni naomba assistance nahitajiMaster rooom(single self) maeneo ya kibada, ungindonii au mji mwema

    Habarii great thinkers, Naomba assistance Kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu. Natafuta room ya kupanga iwe na choo ndani(single self) mazingira yawe na usalama Nahitaji kuhamia harak sana. Yoyote mwenyej taarifa kindly assist me Natanguliza shukrani 🙏
  12. B

    Kiwanja kinahitajika, Kigamboni kibada, bajeti 4m

    Kiwanja kinahitajika maeneo ya kigamboni kibada. Bajeti 4M Kiwe maeneo hayo ya kibada Simu 0716411720
Back
Top Bottom