kibu denis prosper

Kibu Denis, Also Known as Msuva (born 24 June 1994) is a Congolese-Tanzanian footballer player Who play for Simba S.C.Who currently plays as a Forward for Simba S.C, a Tanzanian assossiation football club based in Dar es salaam.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Hawa ndio Wachezaji Wazawa ghali zaidi Ligi Kuu Tanzania, Vilabu vikubwa Afrika vyawatolea macho

    Feisal 'Fei Toto' Salum - Azam FC Katika dirisha la usajili la kiangazi Julai 2024, Fei Toto alihusishwa na klabu kubwa Afrika kama Mamelodi Sundowns na Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini, Wydad Athletic Club ya Morocco, pamoja na Simba SC. Hata hivyo, dau lake la TSh bilioni 5.1 (kwa mujibu...
  2. ngara23

    Nitachukia kama Yanga watashiriki kumrubuni Kibu na baadae kumsajili

    Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili. Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni. Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma. Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa...
  3. Mpigania uhuru wa pili

    Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport

    Wakati feisal kaingia mitini huku akiwa na mkataba Yanga kuliibuka kundi kubwa la mashabiki wa Simba wakimsupport ile mbaya wakidai ni haki yake Haya sasa imetokea kwao kwa kibu dennis nategemea nguvu zile zile walizokua wanatumia kumsupport feisal wazitumie kwa kibu dennis Kwa sasa hivi...
  4. E

    Kwa mlio karibu na Kibu Denis mpeni taarifa hii muhimu

    Mwambieni yeye ni mchezaji wa kawaida sana, anachofanya ni kuharibu carrier yake. Mmwambie pia mashabiki tulishangaa sana kwanini aliongezewa mkataba mbali na kuwa na mchango mdogo sana kwenye timu, kama atarudisha hela na kuondoka tutashukuru sana. Ni hayo tu. Pia soma=> Simba kumchukulia...
  5. Itovanilo

    Hongera Kibu Denis Prosper

    Kiukweli mpira wa Tanzania ili utoboe unahitaji kujituma, kutokata tamaa na uvumilivu wa viwango. Kiukweli Mimi ni shabiki na pia mwanachama wa Dar es salaam Young African, naipenda sana hii timu na huwa naumia sana pindi ikifanya vibaya, lakini yote kwa yote mpira huwa na matokeo matatu...
  6. LENGISHO

    Kibu Denis raia wa Tanzania mzaliwa wa DRC

    [emoji404]Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema kuwa serikali imempatia uraia wa Tanzania mshambuliaji wa klabu ya Simba SC, Kibu Denis kwa mujibu wa Sheria ya Uraia, Sura ya 357 (Rejeo la 2002), baada ya kupokea ombi kutoka TFF kupitia Wizara ya Sanaa, Utamaduni na...
Back
Top Bottom