kichaga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zero IQ

    Wakuu bikra Bado zipo,Nimekutana na Moja Kwa mtoto wa kichaga

    Kama kawaida katika harakati zangu za uchakataji wa papuchi wakuu , Hamuwezi amini Nimekutana na Bikra ,Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 7, awamu hii ndio nimekutana na Bikra,sio Bikra tu ni Bikra Kwa mtoto wa kichaga, Ni kama utani ila ndio hivyo wakuu nimeipasua Bikra ya mtoto wa kichaga ...
  2. G

    Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

    Ndio imeshatokea Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu, Kuna wazee hawana adabu kabisa , Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri? Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana...
  3. emmarki

    Uchumi mzuri unawapa jeuri mbaya wanawake wa kichaga

    Siwasemi vibaya dada zangu wa kichaga, mnasifika kote kwa uwezo wenu wa kusaka mahela. changamoto ninayoiona kwa manka walio wengi, uchumi ukichangamka mnakuwa jeuri na kiburi sana. Haijalishi hata kama mwanaume kamzidi kwa uchumi. Manka akishajihakikishia kuwa ana uwezo wa kusustain maisha...
  4. M24 Headquarters-Kigali

    Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

    1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani. 2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu...
  5. R

    Kama kuna Mwalimu wa Kiingereza na Kiswahili kwa ngazi ya sekondari anayejua vizuri lugha ya Kichaga naomba tuwasiliane

    Habari wakuu. Kuna jambo nataka kufanya kuhusu lugha ya kichaga. Naomba kama humu jamvini kuna mwalimu wa sarufi ya Kiswahili na Kiingereza kwa ngazi ya kidato cha nne tuwasiliane tuone tunaanzia wapi. Natanguliza shukrani. Hata kwa yeyote atakayesoma uzi huu na anamjua mwalimu yeyote...
  6. Makonde plateu

    Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

    Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa...
  7. Father of All

    Kwanini wanawake wa kichaga kila mtu ni kaka yake japo nyuma ya pazia hawana kaka wala baba. mdogo bali wote halali?

    Samahani kwa mliiooa wanawake wa kichaga. Uzoefu wa wengi ni kwamba wanachukuana wao kwa wao. Kila anayekuja ni kaka wakati ni washikaji hata wengine wana ukoo wa damu kama mtoto wa baba mkubwa au mama mdogo au mkubwa. Je hii ni mila au?
  8. Makonde plateu

    Wanawake wa kichaga wote jehovah awabariki sio kwa huyu bikra aisee nampenda sana

    Sikuwahi kuamini ipo kama nitaweza kukutana na bikra wa mwanamke wa kichaga ila mimi nimejonea laivu na mimi ndiyo nimeitoa aisee yaani sio poa poa kabisa demu wa kichaga ana mapenzi balaa asikuambie mtuu Baada ya kuvutiwa na huyu binti ambaye nimemkuta ana miaka 30 ila nimekuta hymen ipo...
  9. The bump

    Utaratibu wa Mahari, mwanamke wa Kichaga Rombo

    Habari zenu wakuu, naomba kuuliza kwa ambao mmeoa Uchagani na wanawake Mlioolewa kina baba na kina mama mliopo humu. Nina mwanamke niliekuwa nae katika mahusiano ni Mchaga wa Rombo, nahitaji kwenda kutoa mahari. Taratbu zinatofautiana naomba kwa waliowahi au kujua taratbu za Uchagani kwa Wa...
  10. Mohammed wa 5

    Ukioa mwanamke wa kichaga unaheshimika sana mtaani

    i hope wazima wana Jamii forum Hivi kuna siri gani na nguvu ipi kwa wanawake wakichaga. kwanza ni wazuri wanajua kutafuta na washauri wazuri kwenye familia, na ni walezi wazuri kwa familia ukitaka familia yako iwe smart muoe mwanamke wa kichaga. Familia nyingi za kichaga zimejijenga vizuri...
  11. Chizi Maarifa

    Nini kinasabisha hili kwa wanawake wengi wa Kichaga? Na Wapemba nao wana lao

    Wanasifika kwa kuwa na Kipulilo aka Komwe. Nini Chanzo cha Tatizo hilo? Unakuta dada mzuri tu maskini sura huku chini inavutia ila ana Komwe. Na nywele zimeanzia karibu na kati kati ya kichwa. Je, haiwezekani kufanyika utafiti wa kitaalamu kubaini nini chanzo? Wapemba wengi ni flat head end...
  12. Makonde plateu

    Mademu wa kihaya na kichaga

    Merhaba! Nikiri kutoka kwenye moyo wangu ukinimbia Nichague demu gani kutoka bara kati ya mhaya na mchaga mimi nitamchagua muhaya kutoka kwenye moyo sema tu nilikosea kuoa mchaga tu na najuta sana aisee. Mademu wa kihaya kwanza wako romantic, hawana dharau,wana heshima na wanajua sex kunako...
  13. The Sunk Cost Fallacy

    Wanawake Chukueni hili kuwahusu wanaume wa Kichaga mtakuja kunishukuru.

    Wanawake nawafikishia ujumbe na mjumbe hauwawi,msijesema hamkuambiwa.
  14. kethika

    Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

    Najua kila kabila lina sifa zake nzuri na zisizofurahisha. Mfano Wanyaturu wengi ni warefu na weupe. Pia wana changamoto kwenye dental fomula zao yaani mpangilio wa meno haujakaa vizuri. Njoni mie mie nimeanzisha tu.
  15. pet geo pet

    Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

    Wakuu habari. Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila tu kuwa mimi ni msukuma hapohapo kashakupenda sijui kwanini. Swali langu kwa nyie wachaga mbona...
  16. Kibosho1

    Wameru ni wakimbizi wa Kichaga

    Katika kabila lenye matabaka mengi Tanzania ni la Kichagga. Na lugha zinabadilika kulingana na eneo ndio mana unakuta ukianza Rombo mpaka Siha lafudhi ni tofauti japo tunasikilizana vizuri lakini huwezi kujibu kama ulivyosemeshwa. Katika kutaka kujua historia kidogo kwanini Wameru wanaongea...
  17. R

    Naomba kufundishwa lugha ya kichaga

    Wakuu nawasalimu. Mimi ni mchaga niliyezaliwa na kukulia nje ya mkoa wa Kilimanjaro ambapo sikuwa na fursa ya kujifunza lugha ya kichaga. Nimejaribu kuangalia resources mbalimbali kwenye mtandao sijapata ya kuniwezesha kujifunza kichaga. Kama kuna yeyote anayeweza kutupia hapa somo for the...
  18. T

    Yajue majina ya Kichaga na maana yake

    Mshiki: Dada Mamkwe: Mtoto wa Pili wa Kike katika Familia Haikaelly: Asante Mungu - Jina la kiume Haika: Asante,Jina la kike Finyaelly: Nguvu za Mungu Ndekarisho: Ndekirwa: Nderingo: Elikunda: Mungu Kapenda Kundaelly: Mungu amependa Siaelly: Wale wanajua maana waongeze hapa
  19. LENGISHO

    Kamusi ya kichaga cha Marangu kwenda kiswahili

    Aichi—Anajua iachikyia--Kujenga Ichele—Kichaga Ichondi- --- Kondoo Iikyelyia—Kuogelea Ikawilyia—Kupalilia Ilyingoi---Jogoo inyi—Mimi Ipalipali- --Bahari Ipore---Yai Irikoso—Taji Isewa—Kibuyu Itukuo—Kushangaa Iwuwu—Kuona makengeza Iyesho---- Majaribu Kiamba---Shamba...
Back
Top Bottom