Habari Ndugu,
Mara nyingi nimekuwa nasumbuliwa na muwasho kwenye kichwa cha Uume , Nikipima mkojo naambiwa fangasi nyingi kwenye mkojo. Je, Dawa yake nini?
Ndugu zangu naumwa fangasi kwa muda sasa ila pia sehemu ya kichwa cha uume kumekuwa kama na Ile ngozi iliyopo kwenye korodani.
Sasa selewiii tiba ni nini.
Wadau hahabrini zaasubuhi,kuna jambo kidogo ningependa kuwashirikisha ili nione mnanisaidiaje,,
Nimeamka asubuhi muda huu kama ilivyoada kwauume kusimama kiafya,kwangu nimeona utofauti kwani uume umesimama kuelekea mbele then umejikunja kati kati karbu na mwanzoni kidogo kuelekea juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.