Habarini
Huyu jamaa nasikia anamiliki king d auto spares, huenda labda anamiliki king d hotel ya sinza
Hizi pesa nyingi watu wanazipataje wakuu.🤔mtu mwenyewe haendani na pesa anazomiliki, mtu amevaa suti ila suruali amepiga mlege😁
Lugumi muonekano wake unaendana na pesa anazomiliki ila sio...