kifo cha asimwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Kifo cha Asimwe kinatuonesha adhabu ya kifo inafaa iendelee kuwepo. Tuitekeleze kwa namna hii...

    Mioyo ya nyama imeumizwa na kusikitishwa mno na kifo cha Binti mwenye ualbino Asimwe aliyeuawa kikatili na viungo vyake kunyofolewa na kila kona tunasikia maoni ya watu wakionesha kuumizwa sana. Kifo cha Asimwe kimetufundisha jambo moja kubwa ,kwamba bado Taifa lina uhitaji mkubwa wa adhabu ya...
  2. D

    Tovuti Rasmi ya Dayosisi ya Bukoba inathibitisha kwamba Elipidius Rwegoshora ni Padre wao

    Tangu jana Kuliporipotiwa Tukio la Paroko msaidizi kuhusika na Tukio la Kutekwa,Kuawa wka Binti Mrembo Asimwe(2) Kumekuwa na hisia tofauti juu ya wahusika hao Hususanai Mhusika wa Kwanza Ambaye ni abab yake pamoja na mtu aliyetajwa kwa jina la aElipidius Rwegoshora ambaye inadaiwa kuwa ni Paroko...
  3. Kamanda Asiyechoka

    Pre GE2025 Ananilea Nkya: Kipindi cha nyuma kuelekea uchaguzi mkuu tulishuhudia mauaji ya Albino, mwaka huu tayari ukatili huo umeanza

    Ananilea Nkya kupitia mtandao wa X amesema kuwa miaka ya nyuma tulishuhudia mauaji ya albino kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu. ALBINO: MSIMU wa uchaguzi umekaribia, miaka ya nyuma nyakati kama hizi tulishuhudia mauaji ya KIKATILI ya watu wenye UALBINO kwa sababu za kishirikina. Mwaka huu...
  4. F

    Tumeshindwa kumlinda Asimwe

    Taarifa za kifo cha huyu mtoto zimeumiza mioyo yetu, mtoto wa miaka miwili kufanyiwa ukatili huu si jambo la kulifumbia macho na ilipaswa tupaze sauti tangu alipokamatwa tarehe 30/05/2024. Uhai wa Asimwe umedhulumiwa na watu wabaya kwa sababu zao wanazozijua wenyewe lakini kama Taifa...
Back
Top Bottom