kifo cha mbunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Moshi Mjini, John Mwanga afariki dunia usiku wa kuamkia leo

    Wakuu, Mwanasiasa John Mwanga (78), aliyewahi kuwa Mbunge wa Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025. Mwanga, ambaye aliweka historia kuwa mbunge wa kwanza wa Moshi Mjini baada ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi nchini, amefariki dunia...
Back
Top Bottom