Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Zambia (Chipolopolo), Justin Shonga, amefariki dunia.
Msemaji Msaidizi wa Polisi wa Zambia, Dan Mwale, amethibitisha kutokea kwa kifo hili
Mwale alisema Shonga alifariki dunia katika Hospitali ya Polisi ya Sikanze baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Enzi...