kifua kikuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mtoa Taarifa

    Ripoti WHO: Kuna ongezeko kubwa la Wagonjwa wa Kifua Kikuu duniani

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limechapisha ripoti mpya kuhusu hali ya Kifua Kikuu (TB) ikifichua kwamba takriban watu milioni 8.2 waligunduliwa hivi karibuni kuwa TB mwaka wa 2023 - idadi ambayo ni kubwa zaidi iliyorekodiwa tangu WHO ilipoanza ufuatiliaji wa TB duniani mwaka 1995. Hili...
  2. BARD AI

    Wizara ya Afya: Vifo vinavyotokana na UKIMWI na Kifua Kikuu vimepungua nchini

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema idadi ya Vifo vya Wajawazito vimepungua kutoka Vifo 556 vilivyotokea mwaka 2016 hadi kufikia Vifo 104 kwa kila Vizazi Hai 100,000 Akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2024/25 Bungeni, pia, Waziri Ummy amesema Vifo vya Watoto wenye chini ya Miaka...
  3. R

    KWELI Kovu la begani ni ishara Muhimu ya kutambua ufanisi wa chanjo ya Kifua Kikuu

    Wakuu, Tulikuwa tunapiga stori kijiweni wakasema kama huna kovu la ndui kwenye bega la mkono wa kulia basi ujue chanjo hiyo haijafanya kazi. Kwahiyo sisi ambao hatuna hilo kovu ndio inamaanisha chanjo iligoma kufanya kazi au? Hii ni kweli, au maneno tu ya mtaani? Maana sioni kabisa uhusiano...
  4. ChoiceVariable

    WHO: Homa ya ini ni hatari kuliko UKIMWI na Kifua Kikuu

    Shirika la Afya Duniani WHO Wametoa taarifa walisema ugonjwa wa homa ya Ini ni Hatari sana Kwa Mwandadamu kuliko Virusi vya Ukimwi HIV na Ugonjwa wa Kifua Kikuu.. Tuchukue tahadhari ikiwemo chanjo ya homa ya Ini === Mashirika ya afya likiwemo la Afya Duniani (WHO), yanaonya kuwa homa ya ini...
  5. Sildenafil Citrate

    Machi 24, Siku ya Ugonjwa wa Kifua Kikuu Duniani

    Kifua kikuu ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya bakteria na huenezwa kwa njia ya hewa. Mtu mwenye maambukizi ya kifua kikuu akikohoa, kupiga chafya au kutema mate ovyo husambaza vijidudu hivyo hewani, huweza kumwambukiza mtu mwingine. Siku hii huadhimishwa Machi 24 kila mwaka ili kuongeza...
  6. Analogia Malenga

    Bilioni 97 zatolewa kupambana na KIfua Kikuu

    Serikali imetoa Shilingi bilioni 97 kwa ajili ya kupambana na maambukizi ya TB ikiwemo kuimarisha huduma za afya vijijini na kupata takwimu sahihi. Hayo yamesemwa jana na Naibu Waziri Dkt.Godwin Mollel wakati wa uzinduzi wa Muungano wa wadau wa kupambana na kifua kikuu Tanzania ulioshirikisha...
  7. Wizara ya Afya Tanzania

    Mganga Mkuu wa Serikali: Tumeongeza uwezo wa kugundua wagonjwa wapya wa Kifua Kikuu

    Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi Na Englibert Kayombo WAMJW - Dodoma Serikali ya Tanzania imeazimia kutokomeza kabisa ugonjwa wa kifua kikuu kwa kuongeza uwezo wa ugunduzi wa wagonjwa wapya wa kifua kikuu na kuwaweka kwenye matibabu. Kauli hiyo imetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali...
Back
Top Bottom