Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.
Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa baadae.
Chanzo: Jambo...
adhabu
bado
bila
huru
kesi
kesi ya sabaya
kifungochanjekifungochanjechamwakammoja
kuachiwa
kuachiwa huru
kukiri makosa
kulalamika
mahabusu
ole sabaya
raia
sabaya
wapi
wengine