Maskini wanajifanya wanazo, Matajiri wanazuga wanajifanya hawana. Wenye kazi wanapost upuuzi wanajiita majobless, Majobless sasaaaa🤣🤣wanajifanya wako serious na maisha.
Wajinga wanajifanya wanaakili na wenye akili wametulia hawataki hata kujieleza,.
Mashetani sasaaa😂😂 wao ndo wanajifanya...