Nawasilimu wana JF
Kwakweli tangu niliposhuhudia dem anaomba hela kwa boy wake anapewa halafu na yeye anaenda kumtoa lunch boy wake, basi niliumia sana.
Njia pekee ya kuniach ni simple, niombe hela yani hapo napoteza interest.
Katika harkati zangu za kutafuta wife material, nikakutana na huyo...