Alikuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM. Alipata kashfa ya kufoji vyeti vya taaluma na hatimae kuvuliwa ubunge.
Kesi yake iliibua msemo maarufu wa "KIHIYO" kumaanisha mtu yeyote ambaye hakusoma au alisoma kwa kudesa desa.
Tangu mwaka 1996 hadi sasa, hajasikika kabisa. YUPO WAPI?
Soma pia Jinsi...