❇️NEMBO (LOGO) RASMI YA UVCCM KIJANI AWARDS NA UVCCM ALUMNI FORUM!
Tunaweka msingi wa kuwatambua vijana walio mstari wa mbele katika kufanikisha maono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mustakabali wa Taifa letu. Hii inatufundisha kuwa kila kijana ana nafasi ya kuleta mabadiliko chanya katika...
KAWAIDA AZINDUA UVCCM KIJANI AWARDS
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Ndugu Mohammed Ali Kawaida amewaongoza vijana katika uzinduzi wa tuzo (UVCCM KIJANA AWARDS) ambazo zitashirikisha Vijana waliofanya vizuri kwenye Sekta mbalimbali kwa mwaka huu.
Uzinduzi wa tuzo hizo ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.