kijazi interchange

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Salum Fumo

    KERO Kivuko cha watembea kwa miguu 🚸 eneo la Njia panda ya chuo UDSM

    Kabla ya kijazi interchange eneo hili lilikuwa linaruhusu wananchi (wanafunzi/wakazi/watembezi na sisi wazururaji) kuvuka kutoka upande mmoja hadi mwingine bila shida. Ila baada ya kuwekwa flyover uwezo huo umeondoshwa na option iliyokuwepo kwa watu hap ni ya hatari sana. Nafahamu kuondoa wavu...
  2. F

    Amb. Kijazi Interchange, Mchina arudi kufanya usafi na ulinzi? Tz tumeshindwa?

    Kuna usemi wa Kijaluo kwamba "Solution to One Problem Carries the Seeds for the Next Problem" yaani "ufumbuzi wa tatizo moja hubeba mbegu za kuotesha tatizo jingine, tafsiri isiyo rasmi" Daraja-kavu la Amb. Kijazi Interchange katika Manispaa ya Ubungo jiji Dar es Salaam ambalo mwanzoni...
  3. Itoye

    Kwanini bango la "Kijazi Interchange" halipo tena?

    Salaam, Naomba kufahamu Je! Jina la daraja la Ubungo almaarufu Kijazi Interchange limebadilishwa au mamlaka husika wanatengeneza bango bora zaidi? Maana lile bango lililokua na jina halipo tena.
  4. mngony

    Interchange ya Ubungo kutojengwa kama ilivyokusudiwa. Kwanini ilipunguzwa Ubora?

    Kwanza tujikumbushe kuwa gharama ujenzi wa 'flyovers' na 'interchanges' ni msaada 'Grant' kutoka serikali ya Japan na nyingine ni mkopo kutoka Benki ya Dunia (Mabeberu) . Mikataba ulishaingiwa kujenga aina 6 za mfano wa hizo katika makutano ya barabara hapa mjini tangu awamu ya 4 mwishoni. Watu...
  5. Trubarg

    Kinachoendelea Kijazi Interchange ni hujuma au ni ajali?

    Wameanza fensii zile za waya kila siku zinadondoshwa, sijajua next itakuwa ni nini. Naomba vyombo vya ulinzi wafuatilie isijekuwa ni hujuma za wazi wazi.
Back
Top Bottom