Kumekuwa na kero ya kukosa utulivu nyakati za usiku baada ya uwepo wa sehemu hii ya biashara kwani sehemu hii ipo karibu na hospital na makazi ya watu na kusababisha watu kushindwa kulala wakiwemo watoto, pia wagonjwa hawapati utulivu na hakuna anayesema lolote kuhusu hili.
Nahisi ni kuogopa...
Anonymous
Thread
kelele za baa
kijijichamrijo
kituo cha afya mrijo
uchafuzi wa kelele
wilaya ya chemba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.