kikao cha bunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 13 Februari 13, 2025

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 13 Februari 13, 2025 https://www.youtube.com/live/cyc6U2sR8Lo?si=DI-aIFTZ23kTvpdk
  2. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 11 Februari 11, 2025

    Wakuu Katika mkutano wa 18 wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma, leo katika kikao cha 11, wabunge watasikia na kujadili taarifa za kamati mbili za kudumu za Bunge kwa kipindi cha kuanzia Februari mwaka jana, 2024 hadi Januari mwaka huu baada ya Kipindi cha Maswali na Majibu. Kamati hizo ni ile...
  3. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 10 February 10, 2025

    Wakuu Baada ya mapumziko ya mwisho wa wiki, leo mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika kikao chake cha 10 linaendelea ambapo baada ya Kipindi cha Maswali na Majibu itakuwa ni zamu ya kamati nyingine mbili za kudumu za Bunge kuwasilisha taarifa zao kwa kipindi cha...
  4. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 7 Februari 5, 2025

    Wakuu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika kikao chake cha saba, mkutano wa 18, leo Februari 5, 2025, litapokea taarifa, maoni na maazimio kutoka kwa Kamati ya Utawala, Katiba na Sheria pamoja na Kamati ya Sheria Ndogo. Hatua hiyo itakuja baada ya kumalizika kwa Kipindi cha Maswali...
  5. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha 2 Januari 29, 2025

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Januari 29, 2025 linaendelea na mkutano wake wa 18 ambapo, pamoja na Kipindi cha Maswali na Majibu, linatazamiwa kujadili miswada miwili ya sheria. Muswada wa kwanza ni wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 3) wa Mwaka 2024 na kisha...
  6. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 17 Kikao cha Tano Novemba 4, 2024

    https://www.youtube.com/watch?v=IKQDv45V3VY Bunge linapokea na kushauri kuhusu mapendekezo ya mpango wa maendeleo unaokusudiwa kutekelezwa na serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/26. Majadiliano yanaendelea… Shamsi Vuai Nahodha: Nitaongea hoja nne kuhusu mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa...
Back
Top Bottom