Inaonekana kama kuna ushabiki kwenye hili suala,ila kinachoendelea huko ni balaa.
Tatizo hili linatupa funzo gani? Issue kama hii inaendelea pia Darfur,tujifunze kuwa watu haki,upendo, amani na kuvumiliana.
Ushabiki kwenye maisha ya watu kama hivi,ni ulimbukeni na ujinga!