kikokotoo cha mafao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Falsafa ya R4 itumike kutatua changamoto ya utoaji wa mafao baada ya kustaafu

    R4 itumike kutatua changamoto ya kikokotoo
  2. The Supreme Conqueror

    Esther bulaya ‘amchanachana’ Waziri Mwigulu Nchemba mafao ya wastaafu

    BUNGE limeambiwa kuwa Serikali inavunja sheria kulinda makosa yake ya kupoka mamlaka ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Hayo yameelezwa leo bungeni Dodoma na Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali iliyowasilishwa wiki iliyopita na Waziri wa...
  3. DOMINGO THOMAS

    Ufafanuzi mdogo kuhusu kauli ya mabadiliko ya kikokotoo

    Kabla ya kuanza kutumika kikokotoo cha asilimia 33% kwenye kiinua mgongo na asilimia 67% kwenye pensheni ya kila mwezi, kulikuwa na mifuko mitano (5) ambayo kila mmoja ulikuwa na formula yake kwenye ukokotoaji wa mafao ya uzee: 1. LAPF na PSPF: Asilimia 50% kwenye kiinua mgongo na asilimia 50%...
  4. DOMINGO THOMAS

    Ufafanuzi mdogo kuhusu kauli ya mabadiliko ya kikokotoo

    Hapa tunarudi nyuma kidogo kabla ya kuanza kutumika kikokotoo cha Asilimia 33% kwenye kiinua mgongo na asilimia 67% kwenye pensheni ya kila mwezi, kulikuwa na mifuko 5 ambayo kila mfuko ulikuwa na Formula yake kwenye ukokotoaji mafao ya uzee ambapo :- 1. LAPF na PSPF ilikuwa ni asilimia 50%...
  5. K

    Natarajia kuwafungulia PSSSF kesi kwa kuninyima michango yangu

    Mimi nilikuwa mtumishi wa Halmashauri na nilistaafu kwa mujibu wa sheria baada ya kufikisha miaka 60. Nilipofuatilia mafao yangu hawa wajamaa wakagoma kunilipa wakitoa sababu kuwa mpaka michango yote ambayo Halmashauri ilitakiwa inichangie zichangwe kwanza na Halmashauri husika kwenda PSSF...
  6. S

    Rais Samia hajaonekana kwenye Sherehe za Mei Mosi, yuko wapi?

    Hili ni tukio kubwa na yeye ndio muhusika mkuu na ndio mwajiri mkuu kama sikosei kwa watumishi wa umma. Swali ni je, yuko wapi na anafanya nini au nini kimemsibu? === Pia soma: Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
Back
Top Bottom