Aidha Mkataba huo haukujadiliwa na Kikao cha Makatibu Wakuu ambacho kinaongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi wala kikao cha Baraza la Mawaziri ambacho mwenyekiti wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa Makala ya Saidi Kubenea kupitia gazeti lake la Mwanahalisi, alisema Waziri...
Na Nova Kambota Mwanaharakati,
Nianze makala yangu kwa kutamka wazi kuwa sikubaliani na kauli mbiu ya miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania bara ''tumeweza, tumethubutu, tunasonga mbele'' sikubaliani na dhana hii na kamwe sitakubaliana nayo kwasababu kila Mtanzania anayejua ukweli tena ni...
Kwa kuwa Lowasa amekana mbele ya JK kuhusika kwake na Richmond/Downs, na
huku akidai kuwa alitaka kuvunja mkataba huo lakini JK akamkatalia, na
kwa kuwa JK mwenyewe ameshindwa kukanusha madai hayo ndani ya NEC.
Kwa kuwa JK alidai kuwa hajui Richmond/Downs, na
Kwa kuwa mtoa taarifa za ukweli Dr...
Hicho ndicho nilichosema nimenotice katika maelezo ya Rostam. Siyo kwamba hakuhusika, na hajawahi kukanusha hicho. Yeye anasema walichunguza na hawakuona jina lake. Vitu hivi ni viwili tofauti. Rostam hajawahi kukana kuhusika na Richmond na Dowans. Sikiliza tena majibu yake alipoulizwa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.