kikwete na richmond

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TataMadiba

    Said Kubenea: Mkataba Wa Richmond Ulisainiwa Na Lowassa Kikwete Akiwa Nje Ya Nchi

    Aidha Mkataba huo haukujadiliwa na Kikao cha Makatibu Wakuu ambacho kinaongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi wala kikao cha Baraza la Mawaziri ambacho mwenyekiti wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa Makala ya Saidi Kubenea kupitia gazeti lake la Mwanahalisi, alisema Waziri...
  2. K

    Kikwete tambua kuwa Watanzania hatuwezi kufunga jalada la Richmond Kirahisi hivi!

    Na Nova Kambota Mwanaharakati, Nianze makala yangu kwa kutamka wazi kuwa sikubaliani na kauli mbiu ya miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania bara ''tumeweza, tumethubutu, tunasonga mbele'' sikubaliani na dhana hii na kamwe sitakubaliana nayo kwasababu kila Mtanzania anayejua ukweli tena ni...
  3. Mikael Aweda

    Malipo ya downs/richmond, kati ya JK na Lowasa nani anatudai?

    Kwa kuwa Lowasa amekana mbele ya JK kuhusika kwake na Richmond/Downs, na huku akidai kuwa alitaka kuvunja mkataba huo lakini JK akamkatalia, na kwa kuwa JK mwenyewe ameshindwa kukanusha madai hayo ndani ya NEC. Kwa kuwa JK alidai kuwa hajui Richmond/Downs, na Kwa kuwa mtoa taarifa za ukweli Dr...
  4. Mzee Mwanakijiji

    Rostam, Msabaha, Kikwete and Richmond - Yes I said it again!

    Hicho ndicho nilichosema nimenotice katika maelezo ya Rostam. Siyo kwamba hakuhusika, na hajawahi kukanusha hicho. Yeye anasema walichunguza na hawakuona jina lake. Vitu hivi ni viwili tofauti. Rostam hajawahi kukana kuhusika na Richmond na Dowans. Sikiliza tena majibu yake alipoulizwa hata...
Back
Top Bottom