kila kitu kimefanywa na rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Kauli za wanasiasa kuwa Rais katuletea hela za maendeleo zinavunja moyo wa kulipa kodi na kutengeneza kizazi kisichowajibika

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimetafakari sana jinsi wanasiasa wanashindwa kutenganisha hisani ya rais na sio pesa za kodi. Hizo kauli zinafanya watu waone kwamba kumbe hata wasipolipa kodi wataletewa na rais jambo ambalo sii kweli hata kidogo. Natamani msisitizo mkubwa uwe hili dalaja...
Back
Top Bottom