Ikitokea nimeigusa pua tu basi zinaanza kumiminika chafya nyiiingi hadi kero,
Nikipisha na mtu aliyejipulizia unyunyu tu, chafya zinanitoka si za nchi hii,
Shemeji yenu akiwa anakarangiza na ile harufu kunifikia, chafyaaaa.
Wakati mwingjne nikikaa tu, chafyaaa.
Nikiingia chumbani, chafya tu...