Habari wadau kwema, shida yangu ipo hivi, nipo Nyumbani mara nyingi na kuna shughuli huwa nafanya kama kusafisha vyombo pamoja na kufua.
Ila shida maji yakiingia kwenye vidole na uyayoni basi shida miguu inapasuka sana,
Muda mwingine vidonda vinatokea kwenye vidole, ila nikiwa mkavu miguuni...