kila mtanzania anamjua mpina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Siasa ni Sayansi, sasa kila Mtanzania anayekunywa Chai anamjua Mpina kama Watumia Umeme walivyomjua Dr Mwakyembe wakati wa Richmond!

    Hata Hayati Magufuli alijulikana sana alipobinafsisha Nyumba za serikali Maneno yakawa mengi na kila mtu akamjua Siasa ni Watu wakujue kwanza iwe kwa wema au ubaya kisha baadae unatenda mema na mema kuelekea Kiti cha enzi Sasa kila mtu anamjua Mpina na ukifika uchaguzi 2030 hatahitaji kutumia...
Back
Top Bottom