kileleni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalili 5 za mwanamke kufika kileleni.

  2. M

    Simba tupeleke kileleni leo, inshaallah

    Ewe mwenyezi mungu, muumba mbingu na ardhi, mwenye majina tisini na Tisa, ulisema niombeni nitawapa, sisi tunakuomba utujaalie ushindi leo uwanja wa Taifa dhidi rangi ya mitume. Sisi sio wale waliokukufuru na kudiriki kusema kuwa wana uwezo wa kucheza na shetani au malaika, sisi ni waja wako...
  3. Twenzetu Kileleni miaka 63 ya Uhuru kuwafikia watu 200

    Dsemba 5 mwaka huu kundi la watanzania 200 wakiongozwa na maofisa wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ)litapanda mlima Kilimanjaro ilikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika. Hili ni tukio la kipekee ambalo limekuwa kivutio kikubwa kwa watanzani wengi ambalo lilianzishwa...
  4. Mwanamke kufika kileleni

    NIGHT MOOD THREAD. Mwanamke kufika kileleni(kukojoa kojo Zito jeupe) ni kitu kitamu zaidi ambacho mwanamke anaweza kupata katika ulimwengu huu mpana na mzuri, na hufanyika ndani ya sekunde chache tu wakati wa kujamiiana, na bado ni wanawake wachache tu wanafika kileleni. Hapa kuna vidokezo vya...
  5. S

    Ukiona mke wako anakudharau jua tu haumfikishi kileleni

    Kwenye ndoa kuna changamoto nyingi sana ambapo sio kila changamoto inahitaji vikao vya nje ili kuzitatua, moja ya changamoto hizo ni baadhi ta wanawake kuwadharau waume zao. Kama una mke unampa huduma zake zote za msingi lakini anakudharau na wakati mwingine hata kujibishana na wewe jua tu...
  6. Faida za kiafya kwa wanawake zitokanazo na kufikishwa kileleni (orgasm)

    Tendo la ndoa linafaida kubwa kiafya kwa mwanaume na mwanamke. Leo nitazungumzia zaidi faida za kiafya anazopata mwanamke pale anapofikishwa kileleni wakati wa tendo. Iko hivi; wakati mwanamke anapofika kileleni, mwili wake huwa unatoa hormones za "dopamine" na "oxytocin" ambazo ndizo humfanya...
  7. Vijana wengi wa KATAA NDOA hawajielewi

    JF habari!!! Mwanzo 1:28 (KJV) Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. Hilo ndilo kusudio kuu la Mungu. Yeyote yule anapinga ujue wazi yupo upande...
  8. Msemaji wa Simba kaamua kukaa kileleni yeye mwenyewe

    Tafadhali, Usifungue kama ukoo chiini ya miaka 18 🔞 unaweza cheka ukakosa nguvu.
  9. Tatizo sio kutofika kileleni ishu ni usanii wa wanawake kukosa hisia na mvuto. Kanuni ni dakika 3-5-7 kwa wote kufika kileleni

    Shalom Wanaume bora niwachane ukweli ukiona manzi, demu, sholi, mke au mpenzi wa kike hafiki kileleni ndani ya dakika 3-5 hadi 7 ujue umepigwa za uso unatoka na mwanamke ambae analiwa sana, kila siku kazoea mwiko, ana sugu ya hatari. Binadamu hapigwi jeki. Imeisha bora upotezee tu kupigwa sio...
  10. Ukifika kileleni mishipa ya damu yote inafunguka. Damu unaweza ikatokea kwenye fizi ama kwenye kidonda.

    Utafiti unaonesha, mtu akifika kileleni, mwili wake unapatwa na Msukumo mkubwa wa damu hivyo sehemu zenye michubuko zinaweza kutoa damu. Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye fizi, hivyo hivyo Ukifika ama kufikishwa kileleni lazima utokwe na damu kwenye fizi. Na kidonda hasa...
  11. Pombe kali inachelewesha kufika kileleni?

    Pombe kali inachelewesha kufika kileleni?
  12. Utajuaje kama Mwanamke amefika Kileleni Kweli?

    Maigizo, ngojera na tamthilia zimetawala sana kwenye zoezi hili muhimu sana la kimwili siku hizi. Ukweli ni upi ili kuepuka kutapeliwa...
  13. Hakuna kitu kizuri Kama kumfikisha mwanamke wako kileleni

    Kilele kinashinda yote Katika ma penzi. Je, umewahi kukutana na experience hii when a woman is on top. Kukubana Sana mbavu zakoo kwa magoti yake. Kukuchomeka vidole vyake masikioni Hadi unavitoa coz anakuumiza kumbe yeye ndo kafika. Kukudondoshea udenda...Yale matemate ya utamuu..kifuani...
  14. Msaada: Sifiki kileleni kwa kufanya mapenzi kawaida, najichua ili kufika

    Hellow guys, Mimi ni Mwanamke wa miaka 25 mpaka sasa, nina mume na nampenda sana. Tabia ya kujichua niliianza mwaka 2019 nikiwa Chuo mwaka wa kwanza ambapo Ex-boyfriend wangu aliniambia “anahisi anatumia nguvu sana na sifiki kileleni.” Hivyo nikaamua kuanza kujaribu kama uwezo ninao au lah...
  15. Kwanini wanaume wengi hawajui kufikisha wanawake zao kileleni?

    Anti: unajua money penny, nimwambie kitu? Money penny: ndio Anti: unajua wanaume wengi hapa mjini hawajui kufikisha wanawake zao kileleni. Wengi hawajui G spot ya mwanamke iko wapo. Hawajui kukojoza wanawake zao Yani wanaume anakupanda Tu kama gari ya mwendo Kasi, akishamaliza yeye anajiona...
  16. Mzunguko wa pili wa NBC Premier League walipokaa kileleni walitamba mno mbona sasa mzunguko wa nne wako kimya?

    Tafadhali naomba mwenye Jedwali la Msimamo wa Ligi Kuu yetu ya NBC aniwekee hapa tafadhali ili tujikumbushe na tusisahau au tusijisahaulishe kwa Makusudi.
  17. Anaewaza kufikishwa kwenye mapenzi ni mgonjwa. Kwenye tendo wajibu ni kujiandaa kufika kileleni na sio kufikishwa.

    Wasalaam nyote, Karne hii binadamu wehu wanetamalaki, hawajui kusudi lao la kuishi, hawajui wajibu wao wa msingi katika kuishi furaha na amani. Wanawake wanaimba kufikishwa what a shame, wanawake wamejaa ubinafsi uliokithiri. Mapenzi yapo kwenye akili na nafsi ya Kila mpokeaji na mtoaji...
  18. Q

    Utamwambia vipi mwanaume kuwa hajawahi kukufikisha kileleni bila kumfanya ajisikie vibaya?

    Kuna binti hapa ananiambia eti amekua kwenye mahusiano kwa mwaka mzima ila kwa kipindi.chote hicho jamaa hajawahi kumkojoza hata mara moja. Anadai genye za muda mrefu zimesababisha awe frustrated ila anaogopa kwa vile anampenda mtu wake anaogopa akimwambia atajisikia vibaya hasa ukizingatia...
  19. Huwezi kupanda mlima hadi juu kileleni bila kuponda baadhi ya mimea kwa miguu yako

    Wazee wanasema: huwezi kupanda mlima hadi juu kileleni bila kuponda baadhi ya mimea kwa miguu yako. Aliye kileleni ni vyema akumbuke maumivu aliyosababisha wakati wa safari ya kupanda mlima. Hakuna aliyepata mafanikio bila kusababisha maumivu kwa wengine. Baadhi ya ndoto za dada, kaka na wadogo...
  20. Mishindo inayovurugika kileleni, weka hapa kisa chako cha tukio lililokuvuruga kituo cha mwisho.

    Kuna muda huwa kuna matukio yanatokea pindi tunapofika ama tunakaribia kileleni, mshindo unavurufika kabisa. Nikianza mimi kuna siku nikiwa nakaribia mshindo ghafla simu ya dem ikaanza kuita kaweka ringtone ya wimbo Solomo Mukubwa ule una mashairi "wanipa tumaini la maisha", kiukweli hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…