Asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wote tunajishughulisha na kilimo ambacho ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu, Ikiwa hivi ndivyo mbona hatuna maendeleo kuanzia kwa mkulima, jamii, wala taifa kwa ujumla?'
Ni kwa sababu bado hatuna kilimo chenye tija na kutuletea maendeleo
Sasa tunaenda kuona...