kilimo cha miti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GoldDhahabu

    Kilimo cha miti ni uwekezaji mzuri?

    Nimefanikiwa kupata ardhi yenye ukubwa wa ekari 200. Ni eneo ambalo bado ni pori. Huenda halijawahi kulimwa tokea liwepo, pengine. Kwa kuwa ni eneo kubwa, ninakusudia kulifanyia kazi taratibu, kwa kadiri nitakavyokuwa nikipata nguvu (kifedha). Kwa kuwa eneo lina miti mingi, nitafanya utaratibu...
  2. Abie

    Naomba ushauri kuhusu kilimo cha miti Mkoa wa Ruvuma

    Wakuu salaam. Niende moja kwa moja kwenye mada. Iko hivi am about 36 now na kila nikiwaza after 20 years nitakuwa na maisha gani kwa maana kiuchumi, sipati jibu sahihi. Pia kila nikiwaza hivi viumbe ninavyoendelea kuvifyatua (na of course speed yangu nzuri) wakikua watakuta nini cha kujivunia...
  3. Asheryelly

    INAUZWA Viriba vinauzwa

    Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu sana. Piga, 0787009807.
Back
Top Bottom