Nimefanikiwa kupata ardhi yenye ukubwa wa ekari 200. Ni eneo ambalo bado ni pori. Huenda halijawahi kulimwa tokea liwepo, pengine.
Kwa kuwa ni eneo kubwa, ninakusudia kulifanyia kazi taratibu, kwa kadiri nitakavyokuwa nikipata nguvu (kifedha).
Kwa kuwa eneo lina miti mingi, nitafanya utaratibu...
Wakuu salaam.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Iko hivi am about 36 now na kila nikiwaza after 20 years nitakuwa na maisha gani kwa maana kiuchumi, sipati jibu sahihi. Pia kila nikiwaza hivi viumbe ninavyoendelea kuvifyatua (na of course speed yangu nzuri) wakikua watakuta nini cha kujivunia...
Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu sana.
Piga, 0787009807.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.