kilimo hai

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Kilimo Hai (Organic Farming)

    Habari wakuu . Naomba msaada wapi nitajifunza Kilimo Hai cha mbogamboga, JijiniArusha. Nahitaji kulima mbogamboga zisizotumia kemikali wala mbolea za viwandani.
  2. Tambua kilimo hai ni nini na kina umuhimu gani katika afya zetu

    Utangulizi Kilimo hai, kinachojulikana pia kama kilimo cha kiasili, ni mbinu ya kilimo inayolenga kuzalisha mazao kwa njia inayozingatia mazingira na afya ya binadamu. Kilibongo Organic Farm ni mfano mzuri wa shamba linalofuata mbinu hizi za kilimo hai, ikijitahidi kutoa mazao bora zaidi bila...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…