Ni majira ya Saa Kumi na Mbili jioni anaonekana Kijana mwenye furaha huku mbele yake kukiwa na watu takribani kumi na nane furaha hiyo inakuja pale kijana Shahibu Abdallah anayefahaamika kwa jina la SHEBY THE DON kufanikisha ndoto ya Familia yake kupata Elimu ya juu kwa wadogo zake wawili Nuru...
85℅ya watanzania ni wakulima,kutokiweka kilimo kama kipaumbele cha kwanza cha taifa ni sawa na kufanya ugaidi.
Tabia za Mwigulu zimejipambanua ktk bajeti ijayo,kilimo kakituma mbali,hii inatoa tafsiri kuwa yeye hana habari na watanzania wakulima.
Mwigulu hana uzalendo na hafai kabisa kuwa Waziri.
Serikali ya awamu ya tano chini ya Hayati JPM suala la Ajira lilikuwa si kipaumbele chake.
Ndio maana katika kipindi chake chote cha miaka mitano na miezi kadhaa,kitakwimu ajira zilizotolewa ni chache mnoo ukilinganisha na idadi ya Maelfu ya vijana wanaomaliza vyuo vikuu, vyuo vya ufundi stadi/...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.