kilimo uti wa mgongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Adam tuga

    SoC02 Kilimo uti wa mgongo

    Ni majira ya Saa Kumi na Mbili jioni anaonekana Kijana mwenye furaha huku mbele yake kukiwa na watu takribani kumi na nane furaha hiyo inakuja pale kijana Shahibu Abdallah anayefahaamika kwa jina la SHEBY THE DON kufanikisha ndoto ya Familia yake kupata Elimu ya juu kwa wadogo zake wawili Nuru...
  2. N

    Kutoweka kipaulembele cha kwanza katika kilimo ni sawa na ugaidi

    85℅ya watanzania ni wakulima,kutokiweka kilimo kama kipaumbele cha kwanza cha taifa ni sawa na kufanya ugaidi. Tabia za Mwigulu zimejipambanua ktk bajeti ijayo,kilimo kakituma mbali,hii inatoa tafsiri kuwa yeye hana habari na watanzania wakulima. Mwigulu hana uzalendo na hafai kabisa kuwa Waziri.
  3. Chakwale

    Rais Samia weka mkazo kwenye Kilimo

    Serikali ya awamu ya tano chini ya Hayati JPM suala la Ajira lilikuwa si kipaumbele chake. Ndio maana katika kipindi chake chote cha miaka mitano na miezi kadhaa,kitakwimu ajira zilizotolewa ni chache mnoo ukilinganisha na idadi ya Maelfu ya vijana wanaomaliza vyuo vikuu, vyuo vya ufundi stadi/...
Back
Top Bottom