Kosovo and Metohija (Serbian: Косово и Метохиja, romanized: Kosovo i Metohija; Albanian: Kosovës dhe Metohisë), commonly known as Kosovo and abbreviated to Kosmet or KiM, is an autonomous province defined by the constitution of Serbia that occupies the southernmost part of Serbia. The territory is the subject of an ongoing political and territorial dispute between Serbia and the partially recognised, self-proclaimed Republic of Kosovo, the latter of which has de facto control over the region. Its claimed administrative capital and largest city is Pristina.
The territory of the province, as recognized by Serbian laws, lies in the southern part of Serbia and covers the regions of Kosovo and Metohija. The capital of the province is Pristina. The territory was previously an autonomous province of Serbia during Socialist Yugoslavia (1946–1990), and acquired its current status in 1990. The province was governed as part of Serbia until the Kosovo War (1998–99), when it became a United Nations (UN) protectorate in accordance with United Nations Security Council Resolution 1244, but still internationally recognized as part of Serbia. The control was then transferred to the UN administration of UNMIK. On 17 February 2008, representatives of the people of Kosovo (Albanian: Udhëheqësit e popullit tonë, të zgjedhur në mënyrë demokratike) unilaterally and extra-institutionally declared Kosovo's independence, which is recognized by 97 UN members, but not by Serbia which still regards it as its province. On 22 July 2010 the International Court of Justice (ICJ) concluded that "the declaration of independence of Kosovo adopted on 17 February 2008 did not violate international law".
Muigizaji maarufu wa Korea Kusini, Kim Soo Hyun, yuko katika hatari ya kupoteza zaidi ya dola milioni 13 baada ya madai kuibuka kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwigizaji Kim Sae Ron alipokuwa na umri wa miaka 15, pamoja na madai ya kumlazimisha kifedha
Kwa mujibu wa ripoti ya...
Kwa kawaida adui yako ukiwa wamfyeka vitani ni furaha kwako. Cha kushangaza South Korea na Ukraine wamekuwa wakilalamika kuwa wanaajeshi wa North Korea (adui yao) wanaopigana vita upande wa Urusi dhidi ya Ukraine wamekuwa wakifyekwa kwa makumi elfu!
Wakati propaganda hizo zikiendelea, North...
Katika muendelezo wa sheria za ajabu na za hovyo huko Korea Kaskazini, mtawala wa taifa hilo Kim Jong (Kiduku) amepiga marufuku ulaji wa soseji akisema ni chakula cha utamaduni uliopitiliza wa kibepari wa magharibi.
---
North Koreans have reportedly been banned from eating hot dogs as part of a...
Kim Jong Un Alihudhuria shule ya serikali ya Liebefeld Steinhölzli huko Köniz, karibu na Bern, chini ya jina "Pak-un" au "Un-pak" kutoka 1998 hadi 2000 kama mtoto wa mfanyakazi wa ubalozi wa Korea Kaskazini huko Bern
Wanasiasa ni wale wale duniani kwote wanahubiri maendeleo ila watoto wao...
Vurugu baada ya uchaguzi nchini Msumbiji zimeibuka. Tayari watu 18 wameuawa.
Tuchukue tahadhari kwenye mipaka (Mtambaswala) yetu na hawa jamaa.
Mshindi wa Tume (FRELIMO) kajifungia ndani anasikilizia.
NB: internet imezimwa kama Tungekinya 2020
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII
Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao...
Kwa mujibu wa Hamas, Haniyeh na mmoja wa walinzi wake waliuawa alfajiri ya jana Jumatano Julai 31, 2024 baada ya jengo walilokuwa wakiishi kuvamiwa na kushambuliwa.
Baada ya mauaji hayo ambayo Israel inanyooshewa kidole kuhusika ingawa haijakiri, tovuti ya Times of Israel imemnukuu Kiongozi...
Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
Kim Jong Un amesema nchi za ulaya zinainyonya Africa kwa kile walicho waghirib eti Mungu wao ndo mungu wa kweli wakati ulweli ni kwamba Africa inapaswa kuondokana na ukoloni huo.
Ikumbukwe korea kaskazini wamezuia na kupiga marufuku biblia na quran kwa kusema na culture ya wazungu na waarabu tu...
Jonny Kim, born on February 5,1984 in Los Angeles, California to South Korean immigrants. has achieved the remarkable feat of becoming a Navy SEAL, a doctor and a Nasa astronaut before he reaching the age of 37.
His journey included earning a silver star as U. S. Navy SEAL, completing over 100...
North Korea Banned Laughing, Drinking And Shopping For 11 Days To Observe Anniversary Of Kim Jong Un's Father's Death — Those Caught Were 'Taken Away And Never Seen Again'
benzinga.comDec 21, 2023 9:00 PM
In a move reflecting the government’s tight control over its populace, North Korea banned...
Huyu jamaa na makombora yake sikujua naye anaweza kufikwa na huzuni mpaka abubujikwe machozi, akina mama pia nao wajiunga kwenye kulia machozi maana mkuu analia, hii ilikua baada ya kusoma taarifa jinsi uzao unapungua, mama hawazai tena kisa changamoto nyingi.
==================
Rais wa Korea...
Hapa jana kwenye chakula cha jioni:
Neno "rafiki" lilitumiwa mara 12 kwenye chakula cha jioni kwa heshima Ya Kim Jong-un. Pia kulikuwa na vifungo vya urafiki, hali ya urafiki na hata urafiki wa urafiki. Kwa wengine, nostalgia, na kwa wengine, ukweli.
Mwimbaji wa Bongofleva na mwanachama wa JamiiForums, Haitham Kim amefariki dunia hospitali ya Temeke alipokuwa anapatiwa matibabu. Meneja wake amethibitisha.
Hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake.
Bryson ambaye ni...
Hello JF
Ifahamike ya kwamba kanisa la Mungu aliye wa kweli Kanisa Katoliki kamwe halina tamaduni ya unafiki na kumuogopa awaye yeyote yule katika kusimamia ukweli na Imani ya Mungu wetu wa mbinguni na asitokee chawa ama ngedere awaye yeyote yule ama tumbili ama kambale ama kajoka kokote kale...
Mrembo matata nchini ambaye ni tajiri na ana connection na mamilionea wengi wa uingereza na marekani, sasa amepanga kuwekeza kwenye strippers club ili watu wapate burudani.
Awali inasemekana kwamba club hiyo itamgharimu takribani bilioni zaidi ya 5 za kitanzia ili kukamilika na iwe na mwonekano...
Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini imesema inalaani hatua ya Korea Kaskazini kupeleka silaha kwa kampuni binafsi ya kijeshi ya Urusi ya Wagner Group.
Wizara hiyo imesema leo pia inaunga mkono shinikizo la Marekani kuliwasilisha suala hilo mbele ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa...
Kim Kardashian na Ye (zamani akijulikana kama Kanye West) wamefikia suluhu kuhusu talaka yao.
Kwa mujibu wa nyaraka za Mahakama, Kardashian atapokea $200,000 zaidi ya Tsh. Milioni 460 kwa mwezi kama gharama za matunzo ya watoto na pia watashiriki malezi ya pamoja ya watoto wao wanne -- North...
Kim wa Korea Kaskazini alihisi kama ambaye anapuuzwa na kupoteza umaarufu baada ya vyombo vya habari kujikita sana kwenye kutoa taarifa za Ukraine, akaamua isiwe tabu akafyatua kombora likapita anga la Japan, sasa Marekani na Korea Kusini wamemjibu kwa kufyatua makombora ya hatari.
Hii dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.