kim jong-un

Kim Jong-un (officially transcribed Kim Jong Un; Korean: 김정은; Korean pronunciation: [kim.dzɔŋ.ɯn]; born 8 January 1983 or 1984) is a North Korean politician who has been the supreme leader of North Korea since 2011 and chairman of the Workers' Party of Korea since 2012. He is the second child of Kim Jong-il (1941–2011), who was North Korea's second leader from 1994 to 2011, and Ko Yong-hui (1952–2004). He is the grandson of Kim Il-sung, who was the founder and led North Korea from its establishment in 1948 until his death in 1994.
From late 2010, Kim Jong-un was viewed as heir apparent to the leadership of North Korea, and following the elder Kim's death, North Korean state television announced him as the "Great Successor". Kim holds the titles of Chairman of the Workers' Party of Korea (as First Secretary between 2012 and 2016), Chairman of the Central Military Commission, Chairman of the State Affairs Commission, commander-in-chief (as SAC chairman), and member of the Presidium of the Politburo of the Workers' Party of Korea, the highest decision-making body in North Korea. Kim was promoted to the rank of Marshal of North Korea in the Korean People's Army on 18 July 2012, consolidating his position as the Supreme Commander of the Armed Forces. North Korean state media often refers to him as Marshal Kim Jong-un, "the Marshal" or "Dear Respected."
Kim rules a dictatorship where elections are not free and fair, government critics are persecuted, media is controlled by the regime, internet access is limited by the regime, and there is no freedom of religion. His regime operates an extensive network of prisons and labor camps; the regime convicts people for political crimes and uses collective punishment whereby members of a family get punished for the crimes of one person. According to the United Nations, North Koreans live under "systematic, widespread and gross human rights violations" where the regime "seeks to dominate every aspect of its citizens’ lives and terrorizes them from within." The regime exerts extensive control over the North Korean economy, with substantial state-controlled economic enterprises and significant restrictions on North Koreans' ability to engage in foreign economic activity. On 12 December 2013, Kim ordered the execution of his uncle Jang Song-thaek for "treachery". Kim is widely believed to have ordered the assassination of his half-brother, Kim Jong-nam, in Malaysia in February 2017. On 12 June 2018, Kim and US President Donald Trump met for a summit in Singapore, the first-ever talks held between a North Korean leader and a sitting US President, to discuss the North Korean nuclear program.

View More On Wikipedia.org
  1. Kaka yake shetani

    Kwanini Dunia na mataifa inamtizama bwana Kim Jong-un kuhusu silaha hatari

    Tunaweza kuliweka kisiasa na kiushabiki sana kuhusu silaha hatari za nyuklia kama kuongea kujifurahisha. Silaha za nyuklia ni hatari sana kimatumizi na kama zikitumika zote tusitegemee kuwepo duniani. Kuna aina nyingi za mabomu ya nyuklia na kila kukicha teknolojia inazidi kuongezeka. Kama...
  2. Raphael Thedomiri

    Kim Jong-un taratibu anaendelea kujipenyeza kwenye mzozo wa vita ya Ukraine, haingilii ki-maneno matupu tena bali sasa anaanza kuingia mzima mzima!

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini imesema inalaani hatua ya Korea Kaskazini kupeleka silaha kwa kampuni binafsi ya kijeshi ya Urusi ya Wagner Group. Wizara hiyo imesema leo pia inaunga mkono shinikizo la Marekani kuliwasilisha suala hilo mbele ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa...
  3. Gama

    Kim Jong-un wa North Korea atiwa wasiwasi na maputo yaanayorushwa na mahasimu wake

    Wapinzani wa mtawala wa North Korea ambao wengi wao wako korea ya Kusini wamekuwa wakipeleka misaada jamaa zao walioko Korea ya Kiduku kwa kutumia maputo maalum yaliyojajwa hewa ya helium. Misaada amabayo imekuwa ikipelekwa kwa njia hiyo ni pamoja na madawa, barakoa na tembe za Vitamin c...
  4. John Haramba

    Unazungumziaje hii fasheni ya Kim Jong-un, umeona upanga wa nguo yake?

    Mtazame Rais wa Korea, Kim Jong-un katika majukumu yake ya kawaida, wadau tuijadili hii fasheni ya nguo zake alizovaa.
  5. jollyman91

    North Korea says willing to resume inter-Korean talks based on mutual respect

    North Korea has expressed its readiness to resume inter-Korean talks on officially ending the 1950-53 Korean War based on mutual respect. “I believe only when fairness and mutual respect can be maintained smooth communication between the North and the South can take place,” said Kim Yo-jong, the...
  6. Sam Gidori

    Utata wagubika kupungua uzito kwa Kim Jong-Un

    Televisheni ya Taifa la Korea Kaskazini imerusha maoni ya wananchi kuhusu afya ya Kiongozi wa Taifa hilo, Kim Jong-un baada ya video iliyokuwa ikimwonesha kupungua uzito kusambaa, hali ya nadra kutokea nchini humo kwa afya ya kiongozi wa nchi kujadiliwa kwenye chombo cha habari. Korea Kaskazini...
  7. Sam Gidori

    Kim Jong-Un akiri Korea Kaskazini inakabiliwa na njaa

    Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un amekiri nchi yake kukabiliwa na baa la njaa, akisema hali ya uhaba wa chakula inazidi kuwa mbaya wakati taifa hilo likiwa katikati ya mapambano dhidi ya virusi vya corona na vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani kufuatia majaribio ya silaha za nyuklia...
  8. Sky Eclat

    Mtoto wa Kim Jong-Un mwenye umri wa miaka 13 ni Luten wa jeshi la wananchi Korea Kaskazini

    Unaambiwa Mtoto wa Kim Jong-Un, Kim Lau Jong-Un ambae kwa Sasa ana Umri wa Miaka 13 Ndie Luteni wa Jeshi la Nchi ya Korea Kaskazini. Aliapishwa Kuwa Luteni Mwaka 2017 akiwa na Umri wa Miaka 9,Mtoto huyo anaandaliwa Kuwa Mkuu wa Majeshi na Kiongozi wa Nchi hiyo Siku Baba yake Kim Jong-Un atakapo...
  9. Kasomi

    Ulinzi wa Kim Jong "Kiduku"

    ULINZI WA KIM JONG "KIDUKU". Kama inavyofahamika dhahiri kuwa ni vigumu kwa mwanga wa mshumaa kudumu katikati ya upepo wa kimbunga unaoangusha maghorofa; vivyo hivyo ni vigumu hata kwa ‘inzi’ mwenye nia ovu kumsogelea Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Huyu ni kiongozi ambaye vyombo vya...
  10. James Martin

    Magufuli na Kim Jong-Un ni Marais pekee duniani sijawahi kuwaona wakifanyiwa interview

    Sijawahi kuwaona hawa Marais wawili wakifanyiwa interview. Ni kawaida kuwaona wakuu wa nchi wakihojiwa kuhusu vitu mbalimbali. Mahojiano hayo huwapa fursa waandishi wa habari kuwauliza viongozi maswali ambayo wananchi wangependa kujua majibu yake. Kwa mfano, kama ningepata fursa ya kukaa na...
  11. FRANC THE GREAT

    Ni kitu gani kinachoendelea ndani ya Korea Kaskazini?

    Habari! Kumekuwa na sintofahamu hivi sasa nisemapo maneno haya hasa katika ukanda wa rasi ya Korea ambapo Korea Kaskazini imeendeleza wimbi la vitisho kwa jirani zake na hivi karibuni imetishia kuzitumia silaha zake za nyuklia endapo kutaibuka mashambulizi dhidi yake. Wakati hayo yakiendelea...
  12. Richard

    Kifahamu chumba kiitwacho Room 39 kipo Korea Kaskazini. Majasusi wote hatari hutoka humo Inasadikiwa kinaendeshwa na Kim Yo-jong dada yake Kim Jong-un

    Nilipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Choe Song ambae ni mtoto wa mtumishi wa serikali Chong Ryong-hae nae anafanya kazi ndani ya chumba hicho...
  13. B

    Namna ya kutambua alipo Kim Jong-Un

    April 26, 2020 New York City USA Gazeti la New York Times lajaribu kutengua kitendawili alipo Kim Jong-un Ni rahisi wajuvi wa mambo kutambua alipo kiongozi yeyote hata kaliba ya Kim Jong-un kiongozi wa Korea ya Kaskazini ambapo kuna usiri mkubwa wa kuweza kupata habari. Hivyo nguli wa...
  14. denooJ

    Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

    Taarifa zinazosambaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari duniani zinasema Rais wa Korea Kaskazini ana hali mbaya kwenye hospitali alipolazwa baada ya kufanyiwa Operation ya moyo. Vyombo vingine vya habari hasa vya Marekani vimeenda mbali zaidi na kusema "inawezekana" akawa ameshafariki tayari...
  15. Kimatu

    Mtandao wa TMZ Wadai: Kiongozi wa Taifa la Korea Kaskazini Kim Jong Un Amefariki Dunia

    Mtandao wa TMZ wa nchini Marekani umeripoti kwamba kiongozi dikteta wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amefariki dunia au yuko kwenye hali mbaya ambayo ni ngumu sana kupona baada ya operesheni yake ya moyo kutofanyika vizuri. Wiki hii China ilituma timu yake ya wataalam wa afya kwenda kusaidia...
  16. FRANC THE GREAT

    Donald Trump Sends a Birthday Message to North Korean Leader Kim Jong-un

    US President Donald Trump has sent a birthday message to North Korean leader Kim Jong-un, said South Korean National Security Advisor Chung Eui-Yong. Speaking with reporters, the official, who met with POTUS this week, said he had been given a message to pass to North Korea, which was...
Back
Top Bottom