kim jong un

Kim Jong-un (; Korean: 김정은, Korean: [kim.dzɔŋ.ɯn]; born 8 January 1983) is a North Korean politician who has been the Supreme Leader of North Korea since 2011 and the leader of the Workers' Party of Korea (WPK) since 2012. He is a son of Kim Jong-il, who was North Korea's second supreme leader from 1994 to 2011, and Ko Yong-hui. He is a grandson of Kim Il-sung, who was the founder and first supreme leader of North Korea from its establishment in 1948 until his death in 1994.
From late 2010, Kim was viewed as successor to the leadership of North Korea. Following his father's death in December 2011, state television announced Kim as the "Great Successor". Kim holds the titles of General Secretary of the Workers' Party of Korea, Chairman of the Central Military Commission, and President of the State Affairs Commission. He is also a member of the Presidium of the Politburo of the Workers' Party of Korea, the highest decision-making body. In July 2012, Kim was promoted to the highest rank of Marshal in the Korean People's Army, consolidating his position as Supreme Commander of the Armed Forces. North Korean state media often refer to him as "the Marshal" or "Dear Respected Leader". He has promoted the policy of byungjin, similar to Kim Il-sung's policy from the 1960s, referring to the simultaneous development of both the economy and the country's nuclear weapons program.
Kim rules North Korea as a totalitarian dictatorship, and his leadership has followed the same cult of personality as his grandfather and father. In 2014, a landmark United Nations Human Rights Council report suggested that Kim could be put on trial for crimes against humanity. He has ordered the purge or execution of several North Korean officials; he is also widely believed to have ordered the 2017 assassination of his half-brother, Kim Jong-nam, in Malaysia. He has presided over an expansion of the consumer economy, construction projects and tourist attractions. Kim also expanded North Korea's nuclear program which led to heightened tensions with the United States and South Korea. In 2018 and 2019, Kim took part in summits with South Korean President Moon Jae-in and US President Donald Trump. He has claimed success in combatting the COVID-19 pandemic in North Korea, although many experts doubt the country has had no cases altogether.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    SI KWELI Kiongozi Mkuu wa North Korea asilimu kuwa Muislam

    Tizama hi video kwa makini kabla ya ku-comment. Kiongozi wa Korea kasikazini amelegeza mashariti kwa dini moja tu uko nchini kwake baada ya kushuhudia great miracle en Wisdom katika kitabu cha Qur"an tukufu, wakati anaingia madarakani 2011 Uislamu kama dini zingine zilikua marufuku nchini...
  2. dogman360

    Kim Jong UN kasomea Switzerland

    Kim Jong Un Alihudhuria shule ya serikali ya Liebefeld Steinhölzli huko Köniz, karibu na Bern, chini ya jina "Pak-un" au "Un-pak" kutoka 1998 hadi 2000 kama mtoto wa mfanyakazi wa ubalozi wa Korea Kaskazini huko Bern Wanasiasa ni wale wale duniani kwote wanahubiri maendeleo ila watoto wao...
  3. Mindyou

    Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

    Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao...
  4. Mindyou

    Putin kaishiwa? Ripoti zinasema Russia yatumia wanajeshi wa North Korea kupigana vita ya Ukraine!

    Waziri wa ulinzi wa Korea Kusini, Kim Yong-hyun, amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba wanajeshi sita wa Korea Kaskazini waliuawa katika shambulizi la makombora nchini Ukraine karibu na Donetsk mnamo tarehe 3 Oktoba. Hii inakuja wakati ambapo mahusiano kati ya Pyongyang na Moscow yanazidi...
  5. J

    Iran yaapa kujibu mapigo juu mauaji ya kiongozi wao mkuu Hassan

    Kwa mujibu wa Hamas, Haniyeh na mmoja wa walinzi wake waliuawa alfajiri ya jana Jumatano Julai 31, 2024 baada ya jengo walilokuwa wakiishi kuvamiwa na kushambuliwa. Baada ya mauaji hayo ambayo Israel inanyooshewa kidole kuhusika ingawa haijakiri, tovuti ya Times of Israel imemnukuu Kiongozi...
  6. L

    Naomba ufafanuzi kwenye hii Picha ya Kim Jong Un na Raisi wa Ukraine

    Jamani hii Picha ninayo iona hapa ni ni ya kweli au imetengenezwa na akili mnemba AI
  7. jmushi1

    Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

    Wawili hao wamesain makubaliano kwamba endapo mmojawapo atashambuliwa, basi ni kama wote wameshambuliwa. Tunaelekea kwenye mgawanyiko ambapo endapo vita itapigwa, basi mwishowe kila mmoja lazima awe na upande alochaguwa. Mafano wiki kadhaa zijazo, NATO nao wanakaa kikao kujadili namna ya...
  8. Yoda

    Putin na Kim Jong Un wakibishana nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari

    Rais wa Urusi Vladimir Putin akiwa ziarani huko Korea Kaskazini ameonekana akiwa anabishana na mtawala wa nchi hiyo Kim Jong Un maarufu kama Kiduku kuhusu nani kuwa wa kwanza kuingia kwenye gari iliyoandaliwa kuwasafirisha wawili hao kwa pamoja. Itazame video hapa
  9. D

    Korea kaskazini: Rais kim jong Un asema Africa itaendelea kunyonywa na ulayakupitia dini mpaka hapo watakapomtambua Mungu wao

    Kim Jong Un amesema nchi za ulaya zinainyonya Africa kwa kile walicho waghirib eti Mungu wao ndo mungu wa kweli wakati ulweli ni kwamba Africa inapaswa kuondokana na ukoloni huo. Ikumbukwe korea kaskazini wamezuia na kupiga marufuku biblia na quran kwa kusema na culture ya wazungu na waarabu tu...
  10. Heparin

    SI KWELI Kim Jong Un awashauri Waafrika waanze kutafuta Dini zao ili waendelee

    Wakuu, Nimekutana na taarifa imepostiwa na Times FM ikiwa na maneno yanayodaiwa kutamkwa na Kiongozi Mkuu wa Korea Kaskazini Kim kuwa anashangaa jinsi wazungu walivyofaulu kuwaaminisha Waafrika kwamba mitala ni dhambi lakini LGBTQ+ ni haki ya binadamu. Waafrika wanapaswa kujifunza jinsi ya...
  11. george aloyce

    Fahamu historia ya Kim Jong UN Korea Kaskazini na maajabu yake

    STAAJABIKA NA KIM JONG-UN (ALMAARUFU KWA JINA LA KIDUKU) RAIS WA KOREA KASKAZINI. Kim Jong- un ni mtoto wa tano na wa mwisho katika uzao wa Kim jog-il (raisi wa pili wa Korea Kaskazini). Kwa sasa ndiye kiongozi wa nchi hiyo na alichukua cheo hicho baada ya kifo cha baba yake Dec 19, 2011. Kim...
  12. Venus Star

    Putin na Kim Jong Un Leo watakuwa na mazungumzo (Fuatilia live updates) hapa

    Hapa jana kwenye chakula cha jioni: Neno "rafiki" lilitumiwa mara 12 kwenye chakula cha jioni kwa heshima Ya Kim Jong-un. Pia kulikuwa na vifungo vya urafiki, hali ya urafiki na hata urafiki wa urafiki. Kwa wengine, nostalgia, na kwa wengine, ukweli.
  13. D

    Mambo 8 ya kushangaza kuhusu Korea Kaskazini

    (1) Kalenda ya Korea Kaskazini inategemea mwaka wa kuzaliwa wa mwanzilishi wa nchi hiyo, Kim Il-Sung. Mwaka huu 2023, Korea Kaskazini itaadhimisha mwaka wa 112, kwa vile Kim Il-Sung alizaliwa mwaka 1912. (2) Korea Kaskazini ina mfumo wake (operating system) kwenye upande wa computers zao...
  14. chizcom

    Kim Jong Un ampeleka binti yake kwenye kurusha kombora na hakuna anayejua kwanini

    Huko South Korea kuna picha zimeonekana bwana kiduku akimpleka binti yake sehemu ya kurusha makombora. Wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka na samaki mkunje kabla hujamkaanga. Mtoto huyu inaonesha kuandaliwa kwenye uongozi.
  15. JanguKamaJangu

    #COVID19 Dada wa Rais Kim Jong-Un akiri kaka yake kupata homa kali katika maambukizi ya Covid-19

    Imefahamika kuwa Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un alipata homa wakati wa maambukizi ya Uviko-19, hayo yamesemwa na dada wa kiongozi huyo, Kim Yo-jong. Kwa kauli hiyo ni wazi anathibitisha Kim Jong alipata maambukizi kama ilivyodaiwa, lakini Yo-jong amelaumu Korea Kusini kwa kudai walirusha...
  16. JanguKamaJangu

    #COVID19 Kim Jong Un ameamuru wanajeshi kupambana na Corona

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa inatarajia kutumia madaktari wa jeshi lake katika kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corona katika Mji wa Pyongyang. Agizo hilo limetangazwa na Kim Jong Un ambaye ni Kiongozi wa Korea Kaskazini ikiwa ni siku chache baada ya maambukizi kuzidi kusambaa Nchini...
  17. Kasomi

    Kumbukumbu: Vladimir Putin alivyokutana na Kim Jong UN

    Je, Kim Jong Un atasimama upande wa Putin? Unaonekana kuna uswahiba kati yao. Video ikirejea Siku ambayo Rais wa Urusi Vladimir Putin alivyokutana na Rais wa Korea kaskazini Kim Jong Un.
Back
Top Bottom