Kim Jong Un Alihudhuria shule ya serikali ya Liebefeld Steinhölzli huko Köniz, karibu na Bern, chini ya jina "Pak-un" au "Un-pak" kutoka 1998 hadi 2000 kama mtoto wa mfanyakazi wa ubalozi wa Korea Kaskazini huko Bern
Wanasiasa ni wale wale duniani kwote wanahubiri maendeleo ila watoto wao...