Habari zenu wakuu??
Hapo nyuma nilikutana na Changa Moto nyingi
ambazo ninaimani zilikuwa ni changa Moto rahisi Sana kwa mtu ambaye alikuwa akiziskia na kuziona zilipo kuwa zikini kumba but was tight
Nili dhalilika,nikadharaulika, nikasemwa,nikasemekana,
kunawakati niliambiwa maneno nawatu...