Habari zenu,
Nipo hapa JF kuinteract na watu naheshimu kila mtu, Kama wewe unanichukulia tofauti nakupa pole sana.
Kuishi na watu wenye tabia tofauti ni kazi, nimejifunza jana na ninajaribu kwa mara nyengine tena.
Jana kuna watu walinitamkia maneno na kuonyesha wamefurahi mimi kusepa, siwezi...