kina dada

Ustad Ghulam Ali (Urdu: غُلام علی‎; born 5 December 1940) is a Pakistani ghazal singer of the Patiala Gharana. He has also been a prominent playback singer. Ghulam Ali was a disciple of Bade Ghulam Ali Khan (elder Ghulam Ali Khan). Ali was also trained by Bade Ghulam Ali's younger brothers- Barkat Ali Khan and Mubarak Ali Khan.
Ghulam Ali is considered to be one of the best ghazal singers of his era. His style and variations in singing Ghazals has been noted as unique, as he blends Hindustani classical music with ghazals, unlike any other ghazal singer. Highly popular in Pakistan, India, Afghanistan, Nepal, Bangladesh, as well as among South Asian diaspora in the US, the UK and the Middle Eastern countries.Many of his hit ghazals have been used in Bollywood movies. His famous ghazals are Chupke Chupke Raat Din, Kal Chaudhvin Ki Raat Thi, Hungama Hai Kyon Barpa, Chamakte Chand Ko, Kiya Hai Pyar Jisé, May Nazar Sé Pee Raha Hoon, Mastana Peeyé, Yé dil yé pagal dil, Apni Dhun Mein Rehta Hoon a ghazal by Nasir Kazmi, "Ham Ko Kiske Gham Ne Maara". His recent album "Hasratein" was nominated in the Best Ghazal Album category at Star GIMA Awards 2014. He was married to Afsana Ali and has a daughter Manjari Ghulam Ali.
In 2015, due to protest by Shiv Sena at Mumbai, his concert was cancelled. After this, he received invitations from Delhi Chief Minister Arvind Kejriwal, West Bengal Chief Minister Mamata Banerjee and Uttar Pradesh Chief Minister Akhilesh Yadav. After this cancellation, he performed at Lucknow, India., New Delhi and in Trivandrum, and Kozhikode, Kerala, India.In a news item reported in 2015, Ghulam Ali has said that he won't perform in India in the future. He said that he does not want to be used for political mileage.

View More On Wikipedia.org
  1. Kina Dada mwatuaibisha!

    Ndugu wanajamvi, nimeingia uwanjani kuzungumza mada ikiwa, hawa madada zetu wa kileo wanavyo jiachilia kwenye mahusiano. Nazugumzia wadada walio kwenye macho yetu kila mara, yaani mtu anae onekana kwenye runinga, kwenye mitandao ya ki jamii, wengi ni 'ma celeb' , wanavyo jiita wengi haswa...
  2. Huu uzi uwafikie wale matonya wote wanaopambania kupata vocha za bure

    Kama unajijua kuwa huwa unapandwa na pressure unapoona Sandakalawe basi huu uzi unakuhusu kwa asilimia 100. FACT - Ewe Matonya! Usipende vya bure tambua kuwa wenzako hizo vocha wamezitafuta kwa jasho na kufanya kazi. Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Shanghai nchini CHINA 🇨🇳
  3. S

    Kina dada mna maana gani ktk hii kauli?

    Mdada anayekataa kuingia kwenye ndoa kwa kisingizio cha "bado sijakamilisha mambo yangu". Huwa ana maana gani? Anajenga au anafungua biashara? Au nn? Kwani mambo hayo hawezi kuyakamilisha akiwa kwenye ndoa? Na unakuta anatoa kauli hii baada ya kupiga danadana kama mwaka ama miaka 2. Kwenye...
  4. IGP Sirro: Kina dada kuweni makini si kila mwanaume ni bora wa kuishi naye

    Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro ameendelea kukemea na kulaani vitendo vya mauaji vinavyotokana na wivu wa mapenzi ambavyo vimekuwa vikitekelezwa na baadhi ya watu kwenye jamii, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. “Ukiona mwanamke amekuzingua si unaachanana naye tu, kina...
  5. kina mama, kina dada ushauri wenu wa muhimu hapa!

    Asalam wana jamii! poleni na majukumu ya hapa na pale! . Niende moja kwa moja kwenye hoja! . . Ukisoma nyuzi nyingi za hapa jamii forum zinawaongelea vibaya sana wanawake ambao wameajiriwa na kuwa wake za watu! . Ushauri wangu ni kutaka kupata kutoka kwenu mnaongeleaje hili swala, je ni sahihi...
  6. HAPPY WOMEN'S DAY kina dada... tukichelewa mtusamehe bado tunaizoea sikukuu mpya

  7. Tahadhari: Uporaji kwa wanaopewa lift na magari binafsi waibuka

    Hello Wapendwa haswa kina dada kuna tabia imeibuka currently mjini humu DSM, sijajua kwa mikoani. Gari haswa hizi private zina offer lift waweza dhani ni msamaria mwema lakini ni wezi ukiingia humo hatujui nini wanakufanyia ila kama una kadi ya benki utawapa na password utatoa, simu na pochi...
  8. Ushauri kwenu kina dada...

    Kutokana na kukua kwa teknolojia dadazangu wengi sana mnatabia za kupiga picha tata(picha za utupu) hii nmeshuhudia kwa baadhi ya wanawake. Wakwanza huyu ni dem wa mshkaj wang yy anapenda sana picha za selfie sasa juzkat kanipa simu yake nimuinganishie ile app ya kutotumia bando nkaona ngoja...
  9. Tuwaambie tu ukweli kina dada, ni wachache mno wanaopendeza kwa suruali

    Ni wachache mno, wengi wao ni mkumbo tu na kufuata upepo wa fasheni. Elewa hakuna kitu kwa ajili ya kila mtu, chagua chako na ukubali. Kama ilivyo kwa wanaume, sio wote watavaa pensi. Sketi na magauni yanawakaa poa sana, hata wale wenye maumbo ya kanda pendwa hupendeza. Suruali zina ubaguzi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…