Kinshasa (; French: [kinʃasa]; Lingala: Kinsásá), formerly Léopoldville (Dutch: Leopoldstad), is the capital and the largest city of the Democratic Republic of the Congo. With a total population of 15 million as of 2021, it is the most populous city in Africa.
Once a site of fishing and trading villages situated along the Congo River, Kinshasa is now one of the world's fastest growing megacities. It faces Brazzaville, the capital of the neighbouring Republic of the Congo; the two cities are the world's second-closest pair of capital cities (after Vatican City and Rome). The city of Kinshasa is also one of the DRC's 26 provinces. Because the administrative boundaries of the city-province cover a vast area, over 90 percent of the city-province's land is rural in nature, and the urban area occupies a small but expanding section on the western side.Kinshasa is Africa's third-largest metropolitan area after Cairo and Lagos. It is also the world's largest Francophone urban area, with French being the language of government, education, media, public services and high-end commerce in the city, while Lingala is used as a lingua franca in the street. Kinshasa hosted the 14th Francophonie Summit in October 2012.Residents of Kinshasa are known as Kinois (in French and sometimes in English) or Kinshasans (English). The indigenous people of the area include the Humbu and Teke.
Mungu wape nguvu Hawa wapambanaji wa haki za wananchi waweze kuikamata kinshasa na kuweza kuleta Maendeleo Kwa wacongoman bila ubaguzi wowote sababu Hawa ndio wapigania haki wa kweli japo wanapigana dhidi ya magaidi ya FARDC waliozoea kunyonya raia wameenda kumsaidia gaidi mwenzao tshekedi ila...
Kundi la waasi wa M23 Alhamisi limeapa kusonga mbele kuelekea mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kinshasa, huku wapiganaji wake wakisonga mbele zaidi katika eneo la mashariki mwa nchi lenye utajiri wa madini.
Kundi hilo kuchukua udhibithi wa sehemu kubwa ya Goma, mji mkuu wa Jimbo la...
Huku waasi wa M23 wakiwa wameuchukua na kuweka chini ya himaya yake mji wa Goma, baadhi ya vikosi vya askari wa kukodiwa walokuwa wakipigana sambamba na majeshi ya serikali ya Congo DRC, imekuwa ni viguu kuamini kuwa ndani ya Congo DRC kuna makundi ya waasi na mamluki yapatayo 120.
Yote makundi...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kwamba barua rasmi ya maandamano hivi karibuni itatumwa kwa Tume ya Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa. Uamuzi huu unafuatia taarifa zilizochukuliwa kuwa hazikubaliki na rais wa Tume ya AU, Moussa Faki Mahamat, ambaye hivi karibuni...
Maisha yanaenda kwa kasi mno.
Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe.
Kinshasa ya zamani sio hii ya leo.
Kigali ya zamani sio hii ya leo
Bujumbura ya zamani sio hii...
SANAMU YA LWAMBO YAZINDULIWA JIJINI KINSHASA
Miaka 26 baada ya kifo chake mwanamuzi nguli wa Kongo Franco Luambo Makiadi, sanamu yake imezinduliwa usiku wa kuamkia leo jijini Kinshasa kwa heshima ya gwiji huyo wa muziki.
Franco, ambaye anachukuliwa kuwa mwanamuziki bora zaidi Afrika kuwahi...
Kuna jamaa yangu ameenda Kinshasa kwa shughuli zake.sasa kanirushia picha za huo mji,ebana kumbe Kinshasa iko vizuri kuliko miji mingi tu hapa Africa ikiwemo Dar yetu.
DUA YA MUHAMMAD ALI KINSHASA 1974
Kwenye kitabu cha maisha yake, "The Greatest My Own Story," Ali anaeleza vipi mzee mmoja kutoka Cuba mchuaji wake misuli alivyokuwa anamnanga kuhusu yeye kujiita, "The Greatest."
Akimwambia kama kweli wewe ni Greatest mpige Foreman siyo ajisifu kwa kumpiga...
Wakuu nimesoma mitandaoni kuhusu show ya Fally Ipupa huko kwao Kinshasa nikabaki kinywa wazi. Huyu jamaa yuko serious. Hakuna longolongo. Yaani pamoja na kufanya promo kwa mbinu zilizozoeleka lakini kijana akaamua kukodi ndege kadhaa kwa ajili ya kutangaza show mjini Kinshasa. Tazama picha jinsi...
Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na...
Habari wadau,
Recently nimepata kimuhemuhe cha kutaka kutembelea DRC(sio kwa biashara ila ni kwa ajili ya utalii uchwara)
Nifanye road trip mpaka nitokee upande wa pili wa nchi kule kwenye bahari ya Atlantic.
Kuna mtu humu amewahi fanya hii kitu?
Experience ikoje?
Nafahamu fika kwamba Cogo...
Baada ya jamaa kupigwa moja pale Kinshasa na kugongwa goals 4 hapo taifa kama kawaida takataka'z zenye hasira na mafanikio ya Simba zikaja na tahmini yao zikidai kwamba AS Vita iliyopiga simba bao 5-0 ya kina makusu ndiyo ilikuwa kali.
Wakadai hiyo iliyopigwa goals 4 ilikuwa imejichokea tu cha...
Rais Felix Tshisekedi amesema Hospitali za Mji Mkuu wa Kinshasa zimelemewa kufuatia ongezeko la maambukizi ya Corona. Taifa hilo limerekodi visa takriban 35,000 na vifo 830
Kampeni ya Chanjo Nchini DR Congo ilichelewa kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana na hofu juu ya athari za AstraZeneca na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.