kinshasa

  1. Marie Antoinette

    Kinshasa yiyomoyeho ibice bigenzurwa na M23

    epubulika ya Demokarasi ya Congo yanzuye ko ibicuruzwa byose bituruka mu bice bigenzurwa na AFC/M23 bizajya byishyura imisoro nk’ibyinjiye mu gihugu bivuye mu mahanga, ibyafashwe nk’aho ubutegetsi bwa Tshisekedi bwikuyeho intara za Kivu zombi. Urwego rushinzwe kugenzura imipaka (DGDA)...
  2. Juice world

    Mungu saidia wapigania haki m23 waikamate kinshasa

    Mungu wape nguvu Hawa wapambanaji wa haki za wananchi waweze kuikamata kinshasa na kuweza kuleta Maendeleo Kwa wacongoman bila ubaguzi wowote sababu Hawa ndio wapigania haki wa kweli japo wanapigana dhidi ya magaidi ya FARDC waliozoea kunyonya raia wameenda kumsaidia gaidi mwenzao tshekedi ila...
  3. The Watchman

    M23 wasema hawaondoki Goma waapa kuendelea kusonga mbele kuelekea mji mkuu Kinshasa

    Kundi la waasi wa M23 Alhamisi limeapa kusonga mbele kuelekea mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kinshasa, huku wapiganaji wake wakisonga mbele zaidi katika eneo la mashariki mwa nchi lenye utajiri wa madini. Kundi hilo kuchukua udhibithi wa sehemu kubwa ya Goma, mji mkuu wa Jimbo la...
  4. Richard

    Kiongozi wa makundi ya waasi wakiwemo M23 leo kasema wapo Goma kimoja na wataendeleza kampeni hadi Kinshasa. Hii ni ishara mbaya kwa Tshesekedi

    Huku waasi wa M23 wakiwa wameuchukua na kuweka chini ya himaya yake mji wa Goma, baadhi ya vikosi vya askari wa kukodiwa walokuwa wakipigana sambamba na majeshi ya serikali ya Congo DRC, imekuwa ni viguu kuamini kuwa ndani ya Congo DRC kuna makundi ya waasi na mamluki yapatayo 120. Yote makundi...
  5. T

    Ubugizi bwa nabi i Kinshasa burakomeje

    Ibikorwa byo gusahura n’ubugizi bwa nabi bikomeje gufata indi ntera i Kinshasa mu murwa mukuru wa RDC. Ni ibikorwa byagiye binagaragaramo abasirikare b’iki gihugu. Byakuruwe ahanini n’imyigaragambyo yahamagajwe na Leta ya RDC, mu kwamagana ifatwa ry’Umujyi wa Goma.
  6. Alvin_255

    Tetesi: Kinshasa yatuma hati ya kumpinga Umoja wa Afrika (AU) baada ya mazungumzo kuhusu M23

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kwamba barua rasmi ya maandamano hivi karibuni itatumwa kwa Tume ya Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa. Uamuzi huu unafuatia taarifa zilizochukuliwa kuwa hazikubaliki na rais wa Tume ya AU, Moussa Faki Mahamat, ambaye hivi karibuni...
  7. Nelson Jacob Kagame

    Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

    Maisha yanaenda kwa kasi mno. Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe. Kinshasa ya zamani sio hii ya leo. Kigali ya zamani sio hii ya leo Bujumbura ya zamani sio hii...
  8. mtwa mkulu

    Ni kweli Club kubwa Kinshasa imebadili jina nakuwa FC magufuli?

    Iliitwa DC motemapembe Wachezaji wake wameonekana wamevaa jezi ya magufuli
  9. KING MIDAS

    Sanamu ya Franco Luambo Makiadi yazinduliwa jijini Kinshasa

    SANAMU YA LWAMBO YAZINDULIWA JIJINI KINSHASA Miaka 26 baada ya kifo chake mwanamuzi nguli wa Kongo Franco Luambo Makiadi, sanamu yake imezinduliwa usiku wa kuamkia leo jijini Kinshasa kwa heshima ya gwiji huyo wa muziki. Franco, ambaye anachukuliwa kuwa mwanamuziki bora zaidi Afrika kuwahi...
  10. kyagata

    Kumbe kinshasa imejengeka na kupangika vyema kuliko Dar?

    Kuna jamaa yangu ameenda Kinshasa kwa shughuli zake.sasa kanirushia picha za huo mji,ebana kumbe Kinshasa iko vizuri kuliko miji mingi tu hapa Africa ikiwemo Dar yetu.
  11. Mohamed Said

    Dua ya Muhammad Ali Kinshasa 1974

    DUA YA MUHAMMAD ALI KINSHASA 1974 Kwenye kitabu cha maisha yake, "The Greatest My Own Story," Ali anaeleza vipi mzee mmoja kutoka Cuba mchuaji wake misuli alivyokuwa anamnanga kuhusu yeye kujiita, "The Greatest." Akimwambia kama kweli wewe ni Greatest mpige Foreman siyo ajisifu kwa kumpiga...
  12. MamaSamia2025

    Hii show ya Fally Ipupa, Kinshasa itaweka rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi.

    Wakuu nimesoma mitandaoni kuhusu show ya Fally Ipupa huko kwao Kinshasa nikabaki kinywa wazi. Huyu jamaa yuko serious. Hakuna longolongo. Yaani pamoja na kufanya promo kwa mbinu zilizozoeleka lakini kijana akaamua kukodi ndege kadhaa kwa ajili ya kutangaza show mjini Kinshasa. Tazama picha jinsi...
  13. N

    Kaizer Chiefs wapanda dau Kinshasa, Kampala asusa atishia kwenda FIFA

    Tuliposema kwamba Ki aziz kapasua kingo za mto tuliitwa wajinga, maandazi, propaganda. Gharib alitoa millions 500 watu wakachafua madaftari wakijua kwamba kijana atakubali achukue signing fee nusu nyingine amaliziwe mwakani sasa kagoma na kutokana na jinsi walivyokuwa wamemkuza wakishirikiana na...
  14. snochet

    Waliowahi kufika DRC (Congo Kinshasa)

    Habari wadau, Recently nimepata kimuhemuhe cha kutaka kutembelea DRC(sio kwa biashara ila ni kwa ajili ya utalii uchwara) Nifanye road trip mpaka nitokee upande wa pili wa nchi kule kwenye bahari ya Atlantic. Kuna mtu humu amewahi fanya hii kitu? Experience ikoje? Nafahamu fika kwamba Cogo...
  15. N

    Waliowakandia wachezaji wa AS Vita baada ya kichapo leo wanawasifia

    Baada ya jamaa kupigwa moja pale Kinshasa na kugongwa goals 4 hapo taifa kama kawaida takataka'z zenye hasira na mafanikio ya Simba zikaja na tahmini yao zikidai kwamba AS Vita iliyopiga simba bao 5-0 ya kina makusu ndiyo ilikuwa kali. Wakadai hiyo iliyopigwa goals 4 ilikuwa imejichokea tu cha...
  16. beth

    #COVID19 DR Congo: Rais asema Hospitali za Kinshasa zimelemewa na COVID-19

    Rais Felix Tshisekedi amesema Hospitali za Mji Mkuu wa Kinshasa zimelemewa kufuatia ongezeko la maambukizi ya Corona. Taifa hilo limerekodi visa takriban 35,000 na vifo 830 Kampeni ya Chanjo Nchini DR Congo ilichelewa kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana na hofu juu ya athari za AstraZeneca na...
Back
Top Bottom