30 paaap !!
"Nina vyeti nitapata ajira", "siwezi fanya kazi nje ya taaluma niliyosomea", n.k. ni jinamizi litalokulalia uchelewe kuanza life lako.
Ajira hizo unazoziota zipo chache sana na connection zimerudi kwa kasi, awamu iliyopita ajira zilisimamiwa na idara ya utumishi angalau kulikuwa na...
Maisha yamebadilika sio tena kama enzi zetu ukimaliza degree ajira unachagua.
Kwa hapa tulipo nazidi kujionea vijana wengi sana wanamaliza vyuo wakiwa vijana wadogo wenye 23 hadi 25 lakini wanakuja kujipata wakiwa 30s, hapo kati stress zinawatafuna na kwa kiasi kikubwa ni matokeo ya zile ndoto...
Position: Barber
The Human Resources Office of Daqing Oilfield Constructions Group Company Limited (DOCG) informs all Tanzanians with the following qualifications and who are ready to work at the Marine Storage Terminal Project (MST) at Chongoleani.
Qualifications:
Certificate in hairdressing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.