Juhudi za China ndani ya jamii ya kimataifa haziwezi kupingwa, lakini lengo la nchi za Magharibi kutaka kuongoza dunia linadai kuwa, China, kama nchi yenye ushawishi mkubwa isiyo ya magharibi, ni kitu cha kigeni.
Ikiwa ni mfumo tofauti kabisa wa kisiasa, China, kuanzia karne ya 19, imekuwa...