Mpo Salama!
Watanzania wengi wametoka na kulelewa kwenye jamii nyingi zinazomini na kufundisha kuwa MKUBWA HAKOSEI.
Watanzania wengi wanaamini ukishakuwa Mzazi wewe tayari ni Mungu hivyo hukosei na hupaswi kuambiwa umekosea.
Watanzania wengi wanaamini ukishakuwa kiongozi Mkubwa labda Rais...