Wadau hamjamboni nyote?
Mapema kabisa nawaletea orodha kamili ya majina ya wanatajwa kumrithi Kiongozi Mkuu wa Hamas aliyeuawa Leo na IDF
Kamanda Mohammed Sinwar
Kamanda Khalil Al Hayya
Kamanda Khaled Meshaal
Kuhusu wasifu wao kwa kirefu soma hapo chini kwa kimombo:
Mungu ibariki nyumba ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Shughuli inaendelea kama ilivyopangwa na kukusudiwa
Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hamas huko nchini Lebanon ameuawa na shambulizi la IDF
Katika shambulio la angani lililolenga, kundi la Hamas lilipata pigo kubwa Jumatatu wakati kiongozi wake nchini Lebanon, Shahidi...
Hali ya usalama inazidi kuwa tete huko Tehran, Iran baada ya serikali ya nchi hiyo kuanza uchunguzi wa maafisa wake wa usalama kuhusu kuhusika kutoa usaidizi kwa Israel katika njama za mauaji ya kiongozi mkuu wa Hamas wiki hii.
Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya uhakika inaonyesha namna gani...
Hadi sasa Sijaona Salamu za rambirambi kutoka chama chochote cha Siasa nchini kufuatilia Kifo Cha Kiongozi mkuu wa Chama Cha Hamas Ismael Haniyeh
Ndio kusema Hamas hawanaga Chama rafiki hapa nchini?
PIA SOMA
- Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.