kiongozi wa cha chadema mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya: CCM wanajua chama chao kina makundi ya watekaji, wanaogopa kujiunga CHADEMA kwa sababu mnatisha watu

    Wakuu, Naona kama joto la uchaguzi limezidi kuwa la moto na hii ni baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA huko jijini Mbeya kuwavaa CCM na chama chao Masaga Pius Kaloli akiwa anazungumza leo huko jjini Mbeya amedokeza kuwa wanachama wengi wa CCM wanataka kujiunga na CHADEMA lakini wanaogopa kujiunga...
  2. A

    Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana

    Katibu Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Mbeya Vijijini, Jackson Mwasenga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mzalendo kijiji cha Ndola mjini Mbalizi amepigwa risasi na watu wasiojulikana na kujeruhiwa maeneo mbalimbali ikiwemo mkononi. Akizungumza na mwandishi wetu akiwa katika Hospitali ya...
Back
Top Bottom